A
Anonymous
Guest
Inasikitisha sana siku hizi polisi kama nchi ni ya kwao kabisa.! As if Serikali imeshawapa ruhusa ya wanachokifanya. Mikoa mingine sijui, hapa Mtwara Kilimanjaro kuna hawa polisi wanatoza tu hela kwa wenye magari hata kama huna kosa sijui tuwaite watoza ushuru au polisi maana mauza uza uza tu.
Kuna hawa wa Mitengo yaani wanataka hela kwa lazima sh 5,000 kila bajaji kweli!
Sasa bajaj kutoka Mkanaled mpaka Mikindani bajaj inaingia abiria wanne ambao ni elfu 4 halafu utoe elfu tano bila kosa lolote huu ni uonevu wa hali ya juu na huku ni kujinufaisha wao tu.
Kuna hawa wengine hapa Mangamba njiani kama unaenda ziwani, hawa askari hapa imekuwa kama upatu kila gari la mchanga wanachukua elfu 5 na hii ni kila siku. Hata kama huna kosa lolote na wanakuambia kabisa tukuandikie kosa elfu 30 au utoe elfu 5.
Tumerudi zama za kikoloni mno
Tunaomba msaada Mtwara askari wanatajirika kupitia madereva
Askari wa Mangamba, Mitengo, na Kilimanjaro wanatunyonya mno
Siku yake nitakuja na picha na videos za hawa askari wetu.
Kuna hawa wa Mitengo yaani wanataka hela kwa lazima sh 5,000 kila bajaji kweli!
Sasa bajaj kutoka Mkanaled mpaka Mikindani bajaj inaingia abiria wanne ambao ni elfu 4 halafu utoe elfu tano bila kosa lolote huu ni uonevu wa hali ya juu na huku ni kujinufaisha wao tu.
Kuna hawa wengine hapa Mangamba njiani kama unaenda ziwani, hawa askari hapa imekuwa kama upatu kila gari la mchanga wanachukua elfu 5 na hii ni kila siku. Hata kama huna kosa lolote na wanakuambia kabisa tukuandikie kosa elfu 30 au utoe elfu 5.
Tumerudi zama za kikoloni mno
Tunaomba msaada Mtwara askari wanatajirika kupitia madereva
Askari wa Mangamba, Mitengo, na Kilimanjaro wanatunyonya mno
Siku yake nitakuja na picha na videos za hawa askari wetu.