mkorinto
JF-Expert Member
- Jun 11, 2014
- 31,415
- 38,761
Mkuu,njaa,kiu,usongo ama urafi wa polisi ni kitu halisi sio ndoto.Kaka kama hujawahi drive kwa safari za kila siku au ndefu , hawa jamaa japo si wote wana njaa isiyo elezeka. Arusha walikuwepo wa mianzini, wale huwa wanafanya kama ni biashara kabisa, tena wana confidence kabisa as if ni halali
Mtu kusema alikamatwa akiwa hana kosa,huu ni unafiki wa wazi,huna kosa unatoa rushwa ili wasikuue ama??
Ukitaka kujua akili za wabongo ni za hovyo kuliko traffic,mtu analalamika kwanini polisi anajificha kichakani kupiga tochi!!!!huu ni utoto kiwango cha juu.
Yaani nia yake akimbie mwendo anaoutaka popote tu.