Ndio hapo huyu kamanda Siro IQ sijui alimaanisha niniNdugu zake wako ndani,
Atazika nani?
Liulize lichama lako na Sirro mnafiki weweMazishi ya Hamza lini na wapi?
Huu mchezo auhitaji hasira afande.Liulize lichama lako na zero mnafiki wewe
Inawezekana walienda kuuongezea mwili wake risasi kwa hofu anaweza kufufuka... Si unajua polisi wetu wakiingia kwenye 18 wanajikuta wanapiga hadi vivuli vyeo? 😁Lakini najiuliza huu mwili polisi wanaufanyia kazi gani, mtu keshakufa kinachofata ni kuzika police wana kazi gani tena nao, wajuvi naomba nijuzeni
Makada wenzake wapo njeNdugu zake wako ndani, atazika nani?
Nadhani polisi wana forensic yao! Yawezekanakitengo hicho ndicho kinashughulika!Lakini najiuliza huu mwili polisi wanaufanyia kazi gani, mtu keshakufa kinachofata ni kuzika police wana kazi gani tena nao, wajuvi naomba nijuzeni
Na huu ni uonevu mwingine utakaoongeza chuki dhidi yao. Mtoto (mtu mzima wa zaidi ya miaka 18 na anaisha maisha ya kujitegemea) afanye kosa, mzazi na ndugu wawajibishwe??!! Ni kwa sheria ya wapi jamani?. Mbona inakera, kukasirisha na kusononesha pia? Hao ndugu ndio waliomtuma Hamza kufanya alichofanya??Ndugu zake wako ndani,
Atazika nani?
Post mortemNmemsikia kamanda Siro anasema mwili wa Hamza washaufanyia kazi ndugu waende wakauchukue wasiopouchukua utazikwa na City
Lakini najiuliza huu mwili polisi wanaufanyia kazi gani, mtu keshakufa kinachofata ni kuzika police wana kazi gani tena nao, wajuvi naomba nijuzeni
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app