Polisi: Mwili wa Hamza tumeshaufanyia kazi

Polisi: Mwili wa Hamza tumeshaufanyia kazi

Nimemsikia kamanda Sirro anasema mwili wa Hamza washaufanyia kazi ndugu waende wakauchukue wasiopouchukua utazikwa na City

Lakini najiuliza huu mwili polisi wanaufanyia kazi gani, mtu keshakufa kinachofata ni kuzika police wana kazi gani tena nao, wajuvi naomba nijuzeni
Muulize yule aliyeumiminia Risasi hata baada ya kuanguka
 
Nimemsikia kamanda Sirro anasema mwili wa Hamza washaufanyia kazi ndugu waende wakauchukue wasiopouchukua utazikwa na City

Lakini najiuliza huu mwili polisi wanaufanyia kazi gani, mtu keshakufa kinachofata ni kuzika police wana kazi gani tena nao, wajuvi naomba nijuzeni
Wanachukua vipimo vya DNA, ndugu wanaogopa kuja wana wasiwasi kwamba siro atawakamata awahoji huenda familia nzima imejipanga kufanya matukio ili wawaweke kwenye redcard ya uchunguzi wa kina pia watawafuatilia nyendo zao. sasa hapa sidhani kama watakuja na wakija watapimwa DNA kutaka kujia ni damu moja au la. Kumbuka kuna maneno aliyo yazungumza waliokuwa kwenye daladala walirekodi. KUna mzee mmoja kula mtwara yuko tayari chini ya ulinzi wa polisi siku ya 4 sasa harhusiwi kuonana au kuongea na yeyote
 
Wanachukua vipimo vya DNA, ndugu wanaogopa kuja wana wasiwasi kwamba siro atawakamata awahoji huenda familia nzima imejipanga kufanya matukio ili wawaweke kwenye redcard ya uchunguzi wa kina pia watawafuatilia nyendo zao. sasa hapa sidhani kama watakuja na wakija watapimwa DNA kutaka kujia ni damu moja au la. Kumbuka kuna maneno aliyo yazungumza waliokuwa kwenye daladala walirekodi. KUna mzee mmoja kula mtwara yuko tayari chini ya ulinzi wa polisi siku ya 4 sasa harhusiwi kuonana au kuongea na yeyote
Huyo mzee kafanya nini hadi kawekwa chini ya ulinzi?
 
kwenye clip ile analalamika kuwa wenzake wameuawa, kumbe inawezekana magaidi wengi sana wamedhibitiwa na polisi, na yeye alikuwa anawafahamu na kilikuwa kinamuuma. sasa mbona na ubonge wake wote ule bado alikimbia bomu la machozi akatoka nje, jinga sana yule, na alivyopigwa risasi alidondoka kama boga. moja kwa moja motoni na angepewa nafasi kurudi angewasaidia sana wenzie wanaoamini kuna mabikira 72 manake huko kakuta tu moto na shetani.
punguza udini utakufelisha kwenye mambo yako ya msingi...
 
kwenye clip ile analalamika kuwa wenzake wameuawa, kumbe inawezekana magaidi wengi sana wamedhibitiwa na polisi, na yeye alikuwa anawafahamu na kilikuwa kinamuuma. sasa mbona na ubonge wake wote ule bado alikimbia bomu la machozi akatoka nje, jinga sana yule, na alivyopigwa risasi alidondoka kama boga. moja kwa moja motoni na angepewa nafasi kurudi angewasaidia sana wenzie wanaoamini kuna mabikira 72 manake huko kakuta tu moto na shetani.
Mkunduuu wako. Mana huo sio mdomo
 
Nimemsikia kamanda Sirro anasema mwili wa Hamza washaufanyia kazi ndugu waende wakauchukue wasiopouchukua utazikwa na City

Lakini najiuliza huu mwili polisi wanaufanyia kazi gani, mtu keshakufa kinachofata ni kuzika police wana kazi gani tena nao, wajuvi naomba nijuzeni
Bongo nyoso
 
Lakini najiuliza huu mwili polisi wanaufanyia kazi gani, mtu keshakufa kinachofata ni kuzika police wana kazi gani tena nao, wajuvi naomba nijuzeni
Mambo mengi

  • Chanzo cha kifo (risasi zilimpata wapi etc)
  • Alipigwa risasi ngapi?
  • Kama alikuwa na vilevi au madawa mwilini mwake (usikute ni zile Kvanga za Wachina 😂😂😂)


Wenzetu wakati mwingine wanachunguza mpaka ubongo wake.... Mambo ni mengi
 
Na huu ni uonevu mwingine utakaoongeza chuki dhidi yao. Mtoto (mtu mzima wa zaidi ya miaka 18 na anaisha maisha ya kujitegemea) afanye kosa, mzazi na ndugu wawajibishwe??!! Ni kwa sheria ya wapi jamani?. Mbona inakera, kukasirisha na kusononesha pia? Hao ndugu ndio waliomtuma Hamza kufanya alichofanya??


Mchuma janga hula na wakwao!

Ni vizuri familia ziwe zinaonyana na kuendelea kufundishana na kuepuka uovu!
 
Back
Top Bottom