secret file
JF-Expert Member
- Sep 10, 2019
- 5,843
- 8,637
Kwa hiyo unataka bwn Haraka haraka akachukue mwili!!ndugu zake si ccm, wakamchukue wamsitiri kada mwenzao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo unataka bwn Haraka haraka akachukue mwili!!ndugu zake si ccm, wakamchukue wamsitiri kada mwenzao
Muulize yule aliyeumiminia Risasi hata baada ya kuangukaNimemsikia kamanda Sirro anasema mwili wa Hamza washaufanyia kazi ndugu waende wakauchukue wasiopouchukua utazikwa na City
Lakini najiuliza huu mwili polisi wanaufanyia kazi gani, mtu keshakufa kinachofata ni kuzika police wana kazi gani tena nao, wajuvi naomba nijuzeni
Wanachukua vipimo vya DNA, ndugu wanaogopa kuja wana wasiwasi kwamba siro atawakamata awahoji huenda familia nzima imejipanga kufanya matukio ili wawaweke kwenye redcard ya uchunguzi wa kina pia watawafuatilia nyendo zao. sasa hapa sidhani kama watakuja na wakija watapimwa DNA kutaka kujia ni damu moja au la. Kumbuka kuna maneno aliyo yazungumza waliokuwa kwenye daladala walirekodi. KUna mzee mmoja kula mtwara yuko tayari chini ya ulinzi wa polisi siku ya 4 sasa harhusiwi kuonana au kuongea na yeyoteNimemsikia kamanda Sirro anasema mwili wa Hamza washaufanyia kazi ndugu waende wakauchukue wasiopouchukua utazikwa na City
Lakini najiuliza huu mwili polisi wanaufanyia kazi gani, mtu keshakufa kinachofata ni kuzika police wana kazi gani tena nao, wajuvi naomba nijuzeni
Hapo mimi nimetaja Uislamu wako?Acheni chuki na uislamu.
Huyo mzee kafanya nini hadi kawekwa chini ya ulinzi?Wanachukua vipimo vya DNA, ndugu wanaogopa kuja wana wasiwasi kwamba siro atawakamata awahoji huenda familia nzima imejipanga kufanya matukio ili wawaweke kwenye redcard ya uchunguzi wa kina pia watawafuatilia nyendo zao. sasa hapa sidhani kama watakuja na wakija watapimwa DNA kutaka kujia ni damu moja au la. Kumbuka kuna maneno aliyo yazungumza waliokuwa kwenye daladala walirekodi. KUna mzee mmoja kula mtwara yuko tayari chini ya ulinzi wa polisi siku ya 4 sasa harhusiwi kuonana au kuongea na yeyote
Duuuu!Mazishi ya Hamza lini na wapi?
Uchunguzi?police wana kauli mbovu mno ,yamkini wanamaanisha wameshamaliza kuufanyia uchunguzi
punguza udini utakufelisha kwenye mambo yako ya msingi...kwenye clip ile analalamika kuwa wenzake wameuawa, kumbe inawezekana magaidi wengi sana wamedhibitiwa na polisi, na yeye alikuwa anawafahamu na kilikuwa kinamuuma. sasa mbona na ubonge wake wote ule bado alikimbia bomu la machozi akatoka nje, jinga sana yule, na alivyopigwa risasi alidondoka kama boga. moja kwa moja motoni na angepewa nafasi kurudi angewasaidia sana wenzie wanaoamini kuna mabikira 72 manake huko kakuta tu moto na shetani.
Mkunduuu wako. Mana huo sio mdomokwenye clip ile analalamika kuwa wenzake wameuawa, kumbe inawezekana magaidi wengi sana wamedhibitiwa na polisi, na yeye alikuwa anawafahamu na kilikuwa kinamuuma. sasa mbona na ubonge wake wote ule bado alikimbia bomu la machozi akatoka nje, jinga sana yule, na alivyopigwa risasi alidondoka kama boga. moja kwa moja motoni na angepewa nafasi kurudi angewasaidia sana wenzie wanaoamini kuna mabikira 72 manake huko kakuta tu moto na shetani.
Bongo nyosoNimemsikia kamanda Sirro anasema mwili wa Hamza washaufanyia kazi ndugu waende wakauchukue wasiopouchukua utazikwa na City
Lakini najiuliza huu mwili polisi wanaufanyia kazi gani, mtu keshakufa kinachofata ni kuzika police wana kazi gani tena nao, wajuvi naomba nijuzeni
Mambo mengiLakini najiuliza huu mwili polisi wanaufanyia kazi gani, mtu keshakufa kinachofata ni kuzika police wana kazi gani tena nao, wajuvi naomba nijuzeni
investigationUchunguzi?
Na huu ni uonevu mwingine utakaoongeza chuki dhidi yao. Mtoto (mtu mzima wa zaidi ya miaka 18 na anaisha maisha ya kujitegemea) afanye kosa, mzazi na ndugu wawajibishwe??!! Ni kwa sheria ya wapi jamani?. Mbona inakera, kukasirisha na kusononesha pia? Hao ndugu ndio waliomtuma Hamza kufanya alichofanya??
Baharini kuna mamba? Ninyi mapolisi mbona wajinga kiasi hiki?Hapo mimi nimetaja Uislamu wako?
Hata kama ni uislamu ndo aue askari ?
Huyo ni gaidi na atupwe baharini aliwe na mamba tu
Sijui kwanini waislam mnamtetea Sana HamzaAcheni chuki na uislamu.
Hata samaki watakula tu.Baharini kuna mamba? Ninyi mapolisi mbona wajinga kiasi hiki?
Wewe ndiye BWEGE kbsa kufa ni kufa. KAFA JIWE?Hata samaki watakula tu.
Gaidi mkubwa yule.