Msigazi Mkulu
JF-Expert Member
- Dec 22, 2013
- 4,160
- 3,368
Huo ni wizi sasa,hiyo bodaboda walienda kuifanyia nini?Dah, jamaa wamebeba hadi bodaboda yake!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo ni wizi sasa,hiyo bodaboda walienda kuifanyia nini?Dah, jamaa wamebeba hadi bodaboda yake!
Mimi ningekuwa ndugu yake ningeenda .. huku nikijitangaza ili wakose cha kufanyahawa wanatafuta chambo.
watakao kwenda kuchukua marehemu kwa wa weka kwenye list ya maneno ya ugaidi.
hii inatokea sana kubebwa mfano jambazi kuzikwa kuna kuwa na polisi wa kutosha.
hapa watajazwa askari kanzu na mashushu watu wajikute wanapata tiketi za kubeba mzigo wa marehemu hamza.
maana wanajua wanachi wameshangilia sana kwa bahati mbaya hawana mtuumiwa
Uislamu umetajwa wapi?!Acheni chuki na uislamu.
Chama cha mapinduzi aka CCM, Chama Dume!!!Ndugu zake wako ndani,
Atazika nani?
Sijui.Uislamu umetajwa wapi?!
Unashangaza kwa kweliR.I.P kamanda Hamza.
Uongozi wa ccm utashiriki?Mazishi ya Hamza lini na wapi?
Dah....kwani hawajui nini kilochomuua? 😳Post mortem
Post mortem hufanywa kwa mtu ambaye chanzo cha kifo chake kina utata. Sasa huyu si kapigwa risasi na hao hao polisi hiyo post mortem ya kazi gani? Jeshi la kipuuzi sana hili.Post mortem
So wakienda kuchukuwa huo Mwili ...do you know Nini Kitatokea...Community Impact..Muislamu akifa huzikwa na waislamu waliopo pale alipofia.
Kuna kitu nakifikiria nje ya box...asante Mkuu kwa ufafanuziJina hamza tu na dini yake inatosha na kusema ni ndugu wa kila muislamu hivyo ningetoa tu wito kwa waislamu wote wa upanga hasa masjid maaamur kujitokeza kwenda kumpumzisha mwenzetu kwa taratibu za dini.
inna lilah wa inna lilah rajuun
Commumity gani bwashee?So wakienda kuchukuwa huo Mwili ...do you know Nini Kitatokea...Community Impact..
Fikiria nje ya box
Rejea wiki mbili polisi walipotangaza ajira.Na huu ni uonevu mwingine utakaoongeza chuki dhidi yao. Mtoto (mtu mzima wa zaidi ya miaka 18 na anaisha maisha ya kujitegemea) afanye kosa, mzazi na ndugu wawajibishwe??!! Ni kwa sheria ya wapi jamani?. Mbona inakera, kukasirisha na kusononesha pia? Hao ndugu ndio waliomtuma Hamza kufanya alichofanya??
Rethink.....Commumity gani bwashee?
Mtu keshakufa kilichobaki ni kuzikwa.
Huyo jamaa ni mkurupukaji sana hadi aibu aisee.Post mortem kwa maiti isiyojulikana chanzo cha kifo. Kwa aliyeuwawa kwa risasi nyingi tena na wao wenyewe post mortem ya nini??!!
Au unaweza kuta hamza ni part ya plan na zile risasi hazikumuua ila ilikua maigizo. Na baada ya tukio hamza akanyanyuka akaenda kupewa chake akasepa somalia. End of the game[emoji12].Nimemsikia kamanda Sirro anasema mwili wa Hamza washaufanyia kazi ndugu waende wakauchukue wasiopouchukua utazikwa na City
Lakini najiuliza huu mwili polisi wanaufanyia kazi gani, mtu keshakufa kinachofata ni kuzika police wana kazi gani tena nao, wajuvi naomba nijuzeni
Au unaweza kuta hamza ni part ya plan na zile risasi hazikumuua ila ilikua maigizo. Na baada ya tukio hamza akanyanyuka akaenda kupewa chake akasepa somalia. End of the game[emoji12].Huyo jamaa ni mkurupukaji sana hadi aibu aisee.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Au unaweza kuta hamza ni part ya plan na zile risasi hazikumuua ila ilikua maigizo. Na baada ya tukio hamza akanyanyuka akaenda kupewa chake akasepa somalia. End of the game[emoji12].So wakienda kuchukuwa huo Mwili ...do you know Nini Kitatokea...Community Impact..
Fikiria nje ya box
Ili wagundue nini? Si alikufa kwa risasi??Post mortem