Polisi: Mwili wa Hamza tumeshaufanyia kazi

Polisi: Mwili wa Hamza tumeshaufanyia kazi

Nmemsikia kamanda Siro anasema mwili wa Hamza washaufanyia kazi ndugu waende wakauchukue wasiopouchukua utazikwa na City

Lakini najiuliza huu mwili polisi wanaufanyia kazi gani, mtu keshakufa kinachofata ni kuzika police wana kazi gani tena nao, wajuvi naomba nijuzeni

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app

sirro ni wa kumpuuza mda mwingi anakuwa amelewa
 
Na huu ni uonevu mwingine utakaoongeza chuki dhidi yao. Mtoto (mtu mzima wa zaidi ya miaka 18 na anaisha maisha ya kujitegemea) afanye kosa, mzazi na ndugu wawajibishwe??!! Ni kwa sheria ya wapi jamani?. Mbona inakera, kukasirisha na kusononesha pia? Hao ndugu ndio waliomtuma Hamza kufanya alichofanya??
Hii ni sera ya Wayahudi kwa wapalestina.ndugu yenu akijilipua na nyie adhabu kali inawakuta aidha mbolewe nyumba yote ili mkaishi makambini.
 
Na huu ni uonevu mwingine utakaoongeza chuki dhidi yao. Mtoto (mtu mzima wa zaidi ya miaka 18 na anaisha maisha ya kujitegemea) afanye kosa, mzazi na ndugu wawajibishwe??!! Ni kwa sheria ya wapi jamani?. Mbona inakera, kukasirisha na kusononesha pia? Hao ndugu ndio waliomtuma Hamza kufanya alichofanya??
Bila shaka ni kwa ajili ya usalama tu na si vinginevyo,si unajua ndugu zetu hawa wenye asili ya Somalia,wangeweza kufanya aliyofanya Kamanda Hamza halafu ikawa balaa zaidi.
 
Sema umeshangilia wewe! Waliokuwa kwenye tukio pale Salender walishangilia sana baada ya kupigwa gaidi Hamza ya kichwa na ndiyo waliokuwa wanawasaidia wale polisi. Ila wewe Gaidi nafikiri ndiyo ulimshangilia Gaidi Hamza
Unaweza ukashangilia bila kujua lolote halafu mwisho siku ukaishia kujutia ulichokifanya.
 
Kuufanyia kazi labda ni zile risasi za makalio walizompiga baada ya kuwa amekwisha kufa.
Lakini najiuliza huu mwili polisi wanaufanyia kazi gani, mtu keshakufa kinachofata ni kuzika police wana kazi gani tena nao, wajuvi naomba nijuzeni
 
Be careful what you name you children. Ukimwita mtoto Zirro kweli anakuwa zero.
Na huu ni uonevu mwingine utakaoongeza chuki dhidi yao. Mtoto (mtu mzima wa zaidi ya miaka 18 na anaisha maisha ya kujitegemea) afanye kosa, mzazi na ndugu wawajibishwe??!! Ni kwa sheria ya wapi jamani?. Mbona inakera, kukasirisha na kusononesha pia? Hao ndugu ndio waliomtuma Hamza kufanya alichofanya??
 
kwenye clip ile analalamika kuwa wenzake wameuawa, kumbe inawezekana magaidi wengi sana wamedhibitiwa na polisi, na yeye alikuwa anawafahamu na kilikuwa kinamuuma. sasa mbona na ubonge wake wote ule bado alikimbia bomu la machozi akatoka nje, jinga sana yule, na alivyopigwa risasi alidondoka kama boga. moja kwa moja motoni na angepewa nafasi kurudi angewasaidia sana wenzie wanaoamini kuna mabikira 72 manake huko kakuta tu moto na shetani.
Inawezekana magaidi wenzake au wafanyabiashara ya madini wenzake.
 
Kufanyia kazi ni pamoja na kutoa Risasi zote, kuzichunguza kama zimetoka kwa Police wetu au Kwa Gaidi mwenzake.
Yawezekana Askari wetu walitaka kumkamata tuu, Gaidi mwenzake akammalizia. Lazima achunguzwe pia kama ni Mla opium.
Good thinking afande, Is it possible kugundua risasi iliyomuua imetoka wapi bila ganda la risasi? Ama liliiingia pia???
 
Ni risasi moja tu aliyopigwa akiwa amesimama ikamwangusha. Hauihitaji risasi 2 kwenye mwili ili kuanguka chini. Nyingine zile walikuwa wanampiga maiti tu.
Ule mwili uko riddled with bullets.

Alipigwa si chini ya risasi 30 akiwa chini ukiachia zile alipokua amesimama.

Poleni ndugu na jamaa ila Hamza alikua Gaidi.
 
kwenye clip ile analalamika kuwa wenzake wameuawa, kumbe inawezekana magaidi wengi sana wamedhibitiwa na polisi, na yeye alikuwa anawafahamu na kilikuwa kinamuuma. sasa mbona na ubonge wake wote ule bado alikimbia bomu la machozi akatoka nje, jinga sana yule, na alivyopigwa risasi alidondoka kama boga. moja kwa moja motoni na angepewa nafasi kurudi angewasaidia sana wenzie wanaoamini kuna mabikira 72 manake huko kakuta tu moto na shetani.

Hivi IGP Umeshindwa kulifukia huko baharini hilo limnyama?

Ujue unazidi kututia hasira watanzania ,Polisi wetu wameuliwa bila kosa.

Litupeni baharini hukn
Acheni chuki na uislamu.
 
Back
Top Bottom