Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo ndiyo forensic investigation. Pia kuverify fingerprints na kwenye database etc....Kufanyia kazi ni pamoja na kutoa Risasi zote, kuzichunguza kama zimetoka kwa Police wetu au Kwa Gaidi mwenzake.
Yawezekana Askari wetu walitaka kumkamata tuu, Gaidi mwenzake akammalizia. Lazima achunguzwe pia kama ni Mla opium.
Alikuwa gaidi mzuri sana inapendeza tukiwa na magaidi kama wale hata kumi tu.Ule mwili uko riddled with bullets.
Alipigwa si chini ya risasi 30 akiwa chini ukiachia zile alipokua amesimama.
Poleni ndugu na jamaa ila Hamza alikua Gaidi.
Ndio hapo huyu kamanda Zero IQ sijui alimaanisha nini
Sirro apumzishwe ameshakuwa screpaNdio hapo huyu kamanda Zero IQ sijui alimaanisha nini
Kuwa na heshima kima wwHivi IGP Umeshindwa kulifukia huko baharini hilo limnyama?
Ujue unazidi kututia hasira watanzania ,Polisi wetu wameuliwa bila kosa.
Litupeni baharini huko
shenzy type ndugu zake toka Somalia waje! manina ameua jamaa namfahamu tena ana familia na watoto!Nmemsikia kamanda Siro anasema mwili wa Hamza washaufanyia kazi ndugu waende wakauchukue wasiopouchukua utazikwa na City
Lakini najiuliza huu mwili polisi wanaufanyia kazi gani, mtu keshakufa kinachofata ni kuzika police wana kazi gani tena nao, wajuvi naomba nijuzeni
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Kuwa na heshima kima wNguruwe mkubwa wewe,
Hamza Mungu amrehemu kama kuna nafasi hiyo, amewafuta Watanzania wengi machoziKuwa na heshima kima ww
Hakuwa gaidi.Ule mwili uko riddled with bullets.
Alipigwa si chini ya risasi 30 akiwa chini ukiachia zile alipokua amesimama.
Poleni ndugu na jamaa ila Hamza alikua Gaidi.
Wameshatawanyisha Mapumbu na Mboo.Nmemsikia kamanda Siro anasema mwili wa Hamza washaufanyia kazi ndugu waende wakauchukue wasiopouchukua utazikwa na City
Lakini najiuliza huu mwili polisi wanaufanyia kazi gani, mtu keshakufa kinachofata ni kuzika police wana kazi gani tena nao, wajuvi naomba nijuzeni
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Umeshapata majibu yako kabla ya majibu ya uchunguzi wa Polisi? Kutokwenda shule nako ni tatizo. Toa tafsiri ya GAIDI.
Sawa kwenda kuwa uliza masuali.Na huu ni uonevu mwingine utakaoongeza chuki dhidi yao. Mtoto (mtu mzima wa zaidi ya miaka 18 na anaisha maisha ya kujitegemea) afanye kosa, mzazi na ndugu wawajibishwe??!! Ni kwa sheria ya wapi jamani?. Mbona inakera, kukasirisha na kusononesha pia? Hao ndugu ndio waliomtuma Hamza kufanya alichofanya??
Wanatafuta cha kumsingizia ili kumsitiri GAIDI wao.Post mortem kwa maiti isiyojulikana chanzo cha kifo. Kwa aliyeuwawa kwa risasi nyingi tena na wao wenyewe post mortem ya nini??!!
Walikua wanakuagua kama ana kadi ya ccmNmemsikia kamanda Siro anasema mwili wa Hamza washaufanyia kazi ndugu waende wakauchukue wasiopouchukua utazikwa na City
Lakini najiuliza huu mwili polisi wanaufanyia kazi gani, mtu keshakufa kinachofata ni kuzika police wana kazi gani tena nao, wajuvi naomba nijuzeni
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Huenda wanafanya kuwa ni chambo au mtego kwa mtu au watu watakaoenda kuomba kuchukua mwwili kwa nia ya kufanya maadalizi ya mazishi.Nmemsikia kamanda Siro anasema mwili wa Hamza washaufanyia kazi ndugu waende wakauchukue wasiopouchukua utazikwa na City
Lakini najiuliza huu mwili polisi wanaufanyia kazi gani, mtu keshakufa kinachofata ni kuzika police wana kazi gani tena nao, wajuvi naomba nijuzeni
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app