Polisi: Mwili wa Hamza tumeshaufanyia kazi

Polisi: Mwili wa Hamza tumeshaufanyia kazi

Ila ccm wabaya sana sasa mwanachama mwenzao kafariki hata kumsitiri kwa mazishi hawataki..!!
 
Kufanyia kazi ni pamoja na kutoa Risasi zote, kuzichunguza kama zimetoka kwa Police wetu au Kwa Gaidi mwenzake.
Yawezekana Askari wetu walitaka kumkamata tuu, Gaidi mwenzake akammalizia. Lazima achunguzwe pia kama ni Mla opium.
Hiyo ndiyo forensic investigation. Pia kuverify fingerprints na kwenye database etc....
 
Ule mwili uko riddled with bullets.

Alipigwa si chini ya risasi 30 akiwa chini ukiachia zile alipokua amesimama.

Poleni ndugu na jamaa ila Hamza alikua Gaidi.
Alikuwa gaidi mzuri sana inapendeza tukiwa na magaidi kama wale hata kumi tu.
 
Hivi IGP Umeshindwa kulifukia huko baharini hilo limnyama?

Ujue unazidi kututia hasira watanzania ,Polisi wetu wameuliwa bila kosa.

Litupeni baharini huko
 
Hata mimi sijamuelewa huyu anayeitwa IGP. Je na miili ya wale askari nayo wameifanyia kazi?
 
Nmemsikia kamanda Siro anasema mwili wa Hamza washaufanyia kazi ndugu waende wakauchukue wasiopouchukua utazikwa na City

Lakini najiuliza huu mwili polisi wanaufanyia kazi gani, mtu keshakufa kinachofata ni kuzika police wana kazi gani tena nao, wajuvi naomba nijuzeni

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
shenzy type ndugu zake toka Somalia waje! manina ameua jamaa namfahamu tena ana familia na watoto!
 
Ule mwili uko riddled with bullets.

Alipigwa si chini ya risasi 30 akiwa chini ukiachia zile alipokua amesimama.

Poleni ndugu na jamaa ila Hamza alikua Gaidi.
Hakuwa gaidi.
Ni mhalifu kama wahalifu wengine wanaopambana na polisi.
Kibiti imetokea , hapo Dar mara ngapi polisi hupambana na majambazi. na hakuna anosema kuwa Magaidi.
kwanini huyu mumuite Gaidi.
Haja iba Bank haja teka Raia hajauwa raia haja sindikiza serikali .
 
Nmemsikia kamanda Siro anasema mwili wa Hamza washaufanyia kazi ndugu waende wakauchukue wasiopouchukua utazikwa na City

Lakini najiuliza huu mwili polisi wanaufanyia kazi gani, mtu keshakufa kinachofata ni kuzika police wana kazi gani tena nao, wajuvi naomba nijuzeni

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Wameshatawanyisha Mapumbu na Mboo.
 
Na huu ni uonevu mwingine utakaoongeza chuki dhidi yao. Mtoto (mtu mzima wa zaidi ya miaka 18 na anaisha maisha ya kujitegemea) afanye kosa, mzazi na ndugu wawajibishwe??!! Ni kwa sheria ya wapi jamani?. Mbona inakera, kukasirisha na kusononesha pia? Hao ndugu ndio waliomtuma Hamza kufanya alichofanya??
Sawa kwenda kuwa uliza masuali.
sawa kuweka ulinzi kwenye nyumba yawo
lakini kuwachukuwa na kuwapeleka kusijulikana haihusu na unyanya saji wa raia.
 
Post mortem kwa maiti isiyojulikana chanzo cha kifo. Kwa aliyeuwawa kwa risasi nyingi tena na wao wenyewe post mortem ya nini??!!
Wanatafuta cha kumsingizia ili kumsitiri GAIDI wao.
 
Nmemsikia kamanda Siro anasema mwili wa Hamza washaufanyia kazi ndugu waende wakauchukue wasiopouchukua utazikwa na City

Lakini najiuliza huu mwili polisi wanaufanyia kazi gani, mtu keshakufa kinachofata ni kuzika police wana kazi gani tena nao, wajuvi naomba nijuzeni

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Walikua wanakuagua kama ana kadi ya ccm
 
Nmemsikia kamanda Siro anasema mwili wa Hamza washaufanyia kazi ndugu waende wakauchukue wasiopouchukua utazikwa na City

Lakini najiuliza huu mwili polisi wanaufanyia kazi gani, mtu keshakufa kinachofata ni kuzika police wana kazi gani tena nao, wajuvi naomba nijuzeni

Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Huenda wanafanya kuwa ni chambo au mtego kwa mtu au watu watakaoenda kuomba kuchukua mwwili kwa nia ya kufanya maadalizi ya mazishi.

Vyombo vya Dola achaneni na 'Dhuluma na Visasi kwa wananchi wanaopambania maisha yao taifa litaangamia muda mfupi ujao.

Kama hamuamini puuzieni hisia za watu...................Tanzania hakuna upendo tena miongoni mwa viongozi na wananchi kwa sababu ya dhuluma, visasi, na ukosefu wa maadili kwa kuwa kila mmoja anajifanya mjuaji na amekaidi mausia ya waliotangulia.
 
Back
Top Bottom