Polisi na Magereza watunishiana Msuli Iringa

Polisi na Magereza watunishiana Msuli Iringa

Huwa tena najiuliza hivi yale Magari ya Ikulu yakiwa kwenye msafara wa Viongozi wa nchi yanavyokimbizwa huwa Trafic wanaweza kuthubutu kuyasimamisha?
Akili yako ndio imewaza hivi? Msafara wa Rais usimamishwe sababu ya Speed? That's Treason
 
Nilikataa nafasi ya upolisi pale Kayanga Karagwe!! Jamaa zangu waninimbeleza sana!! nikawambia sitaki kazi ya laana!!
Mkuu mungu anakupenda sana. hata mimi ilitoka nafasi moja kwenye kata ila ilikuwa special kwa yatima vile diwani nilkuwa nampambania akaniita niende zilikuwa za direct bila hata usaili ni vipimo na cheti cha form4 basi.Diwani aliniita kwa furaha mno lakini nilipo kataa hakuamini kabisa akiuliza sababu wala sina. Hadi akampigia simu mzee bado nikakataa. NI LAANA HIYO
 
Katika hali halisi yamkin polisi wako sahih maana hiyo ni kaz yao.Ila swali nkwamba mbona gari za abiria(buses) huwa wana overspeed!?STK,STL,SM,DFP ndo vinara wa mwendo mchafu!?. Pia Kuna isue kama hiyo ilitokea miez kadhaa iliyopita hukohuko Iringa mafnga maeneo ya kinyanambo polisi aliikamata Landcruiser ya JWTZ na kumzaba kibao dereva ambaye pia ni Mjeda.Jamaa akawajuza kikosini yaliyo mkuta road bakabaka zikatia timu chap kwa haraka.Walianza kumwulza dereva wao kama alifuata taratbu za kisheria zilizotakiwa kuashiria kama anadharula(maana alkuwa amehitajika haraka kikosini na alikuwa ametokea dodoma)akasema ndyo.Wakamuulza polisi dereva wetu alikuwa amesha taa za kuashiria dharula!?,polisi akajibu ndyo,akaulizwa uliitambua kama ni gari ya jeshi!?akasema ndyo,akaulzwa kwanin usinge ripoti kikosini hiyo namba ya gari kama alkuwa amevunja sheria !!.kilicho fuata Jamaa wakaenda naye kikosini mafinga lkn polisi alkuwa anaomba msamaha kama wote asee.Nnachokiona mimi nkama hivi vyombo huwa vinakamiana,hasa polisi pengne wanahisi kama wanadharauliwa hivi.
 
Siwapendi polisi jaman, niliendaga siku moja kituo kimoja kikubwa kuulizia huduma ya sticker ya nenda kwa usalama, nimefika nimesalimia hata hajaitikia anasema sema shida yako, nilichukia yaani kwanza mshahara hanizidi, nimemuacha mbali kielimu hanifikii yaani nilimdharau nikasema hizi ndude sijui zinajionaje kwa mfano,. Nakumbuka niliendaga Jwtz pale Mgulani enzi za duka la jeshi yaani niliulizwa kitu na nikajibiwa vzr, the same to magereza kwa kweli.

Baba yangu alikuwa polisi na hakuwa na tabia mbaya kama za makauli ya ajabu, alikuwa mtu wa watu na msaada kwa wale walioonea, siku moja mtu mmoja alipelekwa kituoni na akawekewa bangi mfukoni nakumbuka baba yangu aliwafokea sana wale watu na akataka kuwaweka rock up na yule mtu akaachiwa, yaani ile picha hadi leo hainitoki nilikuwepo pale sikuelewa kitu ila usiku nyumbani Baba alikuwa akielezea na kusikitika kwa uchungu namna yule mtu alivyotaka kuonewa. Kuna mahali Polisi huwa mnajisahau hamjui pia mtatukuta huku kwenye taasisi zingine sema mm sina roho mbaya so ningekuwa nalipiza lakini nimekula kiapo kwa kweli.

Polisi, nyinyi mjirekebishe kauli zenu kwa wateja wanaoleta malalamiko, lakini muangalie haki za watu sio mnawakandamiza kwa sababu hawana hela, Mungu atawalipa kwa kweli.

Ushauri wangu, mngekuwa nyie wenyewe mngeongeza speed hadi mia moja so msifanyiane hivyo maana hata course nahisi huwa mnakutana, nimechukizwa sana na hii kitu.
Mkuu umenkumbusha siku nmeenda polisi kutoa loss report kituo kikuu cha mkoa flan asee.Yaan majibu yale nilihisi huyo mwamba hanyagi kabsaa.Kiufup nilikunja njita live polisi mmoja wa kike aliyekuwepo jirani alirambua kama nmechukia akanielekeza vzuri Mungu ambariki saana.Kiufup nkweli sio wabaya kwa ujumla wao lakin asee wengi wanajivika tabia zisizoendana na kazi yao kwa raia.
 
Ivii mbona watu mnawachukia Sana POLISI. Ivi wasipo fanya kazi masaa 12 tuu mtaenda kuripoti wapi vibaka walowapaka mafuta uko mtaanii.
Mkuu kabla hujauliza hilo swali ulitakiwa ujiulize au ufuatilie wanalalamikiwa kwa kusngiziwa au kihalali.Kufanya kaz kwao na umuhim wao hakufanyi makosa yao kuwa halali.Au unataka kusema mgonjwa akilalamika kupasuliwa kichwa badala ya mguu anamaana kwamba daktari sio muhim kwake!?
 
Mkuu umenkumbusha siku nmeenda polisi kutoa loss report kituo kikuu cha mkoa flan asee.Yaan majibu yale nilihisi huyo mwamba hanyagi kabsaa.Kiufup nilikunja njita live polisi mmoja wa kike aliyekuwepo jirani alirambua kama nmechukia akanielekeza vzuri Mungu ambariki saana.Kiufup nkweli sio wabaya kwa ujumla wao lakin asee wengi wanajivika tabia zisizoendana na kazi yao kwa raia.
Kwa kweli sijawahi kumpenda polisi kwa kweli, nawachukia sanaa, watu wengi wanaonewa sababu tu hawana hela.
 
Askari magereza ni hatari sana magerezani, kwa hali ilivyo usiombe wewe Polisi upate kesi halafu upelekwe gerezani kama mahabusu au mfungwa...hawa jamaa ni hatari...
 
Kwa kweli sijawahi kumpenda polisi kwa kweli, nawachukia sanaa, watu wengi wanaonewa sababu tu hawana hela.
Nkweli kbsaa cjui kwanin wasjifunze mazur yanayo fanywa na wachache wao.Yaani wanachafua sura ya PT kwa raia.
 
Hawaja bondana tyuuh had sahivi? Aaaah
Wakung'utanee heshima iwepo baina yao. Lol
 
Kama hujui kaa kmya magereza sio polisi na wala sio product ya ccp
Point yako wewe hapo ni nini?
Ukiambiwa uandike kichwa cha habari cha maudhui ya thread hii, utaandika vyuo vya mafunzo wanakofundishiwa hawa askari wa idara za Wizara ya mambo ya ndani?
 
Back
Top Bottom