Polisi na mahabusu wapoteza maisha ajalini Mwanza

Polisi na mahabusu wapoteza maisha ajalini Mwanza

Mengi ya magari ya polisi ni mabovu na hayafanyiwi matengenezo na marekebisho ya mara kwa mara, lakini ajabu unasikia kwenye bajeti wanatengewa fedha ya matengenezo ya magari.

Kuna dereva mmoja wa taasisi ya serikali pale Morogoro, alikuwa anapewa fedha ananywea, anatafuta oil chafu ana refill kwenye gari, anatafuta risiti fake anapeleka kwa muhasibu biashara imekwisha mpaga gari ilipokufa injini akakaa benchi.
Yeye ndo alikaa bench au gari ndo ilikaa bench akaletewa nyingine ai ue
 
hili issue ya 'ku-overspeed + reckless driving' kwa madereva wa magari ya serikali limekuwa ni kaburi kwa wasio kuwa na hatia na kibaya Zaidi hakuna kiongozi yoyote anaye likemea, ona sasa yaani askari mzima ana overtake kwenye 'blind corner' sehem ambayo hajui mbele yake kuna anaenda kukutana na nini na siku ya mwisho jeshi la polisi wanamkamata na kumfungulia mashitaka aliye gongwa, pole kwa mahabusu/ watuhumiwa walio fariki ….
umeambiwa gari imekata sterling rod....sasa hapo hakuna cha kujitetea hata kama hauja overtake
 
Pole kwa watuhumiwa yaan rai wenzangu.
 
umeambiwa gari imekata sterling rod....sasa hapo hakuna cha kujitetea hata kama hauja overtake
Unaijua sterling rod ya land cruiser wewe??? Chawa tukiangalia damage kwenye body ya hiyo gari tuna kupa adi ‘impact speed’ kipindi inagonga hilo lori
 
View attachment 2204126
IMG-20220428-WA0366.jpg
 
Back
Top Bottom