Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama inayomletaga sabay na vijan wake inatembezwa mbayaMagari yanayotoka magereza huwa Yana Kasi
Asa mtuhumiwa Yuko chini ya ulinzi mwendo Kasi was Nini na gari bovu
Wanajua kula rushwa ila kutengeneza magari huo mda hawana,wao ni kukimbiza tuWatu wanne wakiwemo askari polisi wawili na mahabusu wawili - waliokuwa wakituhumiwa kwa makosa ya kujihusisha na vitendo vya kigaidi pamoja na mauaji, wamepoteza maisha kwa ajali ya gari iliyotokea jana Jumatano jioni Aprili 27, 2022 katika Kijiji cha Ibanda barabara ya Geita-Sengerema.
Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Geita, Henry Mwaibambe amesema chanzo cha ajali hiyo ni gari la polisi aina ya Toyota Landcruise yenye namba za usajili PT 3798 lililokuwa likitokea mkoani Mwanza, kukata ‘sterling rod’ na kuhama kutoka upande wake na kwenda upande mwingine na kugongana na Lori aina ya Scania lenye tela namba. T.865 mali ya kampuni ya Nyanza Botling.
Ajali hiyo pia imejeruhi watu wanne na wamelazwa katika Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Geita huku miili ya askari hao wawili ikihifadhiwa katika Hospitali ya Rufaa Bugando jijini Mwanza.
View attachment 2203582
Gari limekata Steering rod haina ujanja hio.hili issue ya 'ku-overspeed + reckless driving' kwa madereva wa magari ya serikali limekuwa ni kaburi kwa wasio kuwa na hatia na kibaya Zaidi hakuna kiongozi yoyote anaye likemea, ona sasa yaani askari mzima ana overtake kwenye 'blind corner' sehem ambayo hajui mbele yake kuna anaenda kukutana na nini na siku ya mwisho jeshi la polisi wanamkamata na kumfungulia mashitaka aliye gongwa, pole kwa mahabusu/ watuhumiwa walio fariki ….
Wao wanakuwaga na visingizio ila raia akipata ajali sababu ni moja tu, uzembe wa dereva.hili issue ya 'ku-overspeed + reckless driving' kwa madereva wa magari ya serikali limekuwa ni kaburi kwa wasio kuwa na hatia na kibaya Zaidi hakuna kiongozi yoyote anaye likemea, ona sasa yaani askari mzima ana overtake kwenye 'blind corner' sehem ambayo hajui mbele yake kuna anaenda kukutana na nini na siku ya mwisho jeshi la polisi wanamkamata na kumfungulia mashitaka aliye gongwa, pole kwa mahabusu/ watuhumiwa walio fariki ….
ina maana hiyo sterling rod ya hilo gari ilikatika wakati dereva ana overtake kwenye 'blind corner' ikiwa kwenye speed ya ya kifo??, kingine ni huyo mkuu wa mkoa injia nani, yaaani kila mkoa anauongoza lazima pepo za maajali kwa watumishi wa idara za serikalini ziwaandame, kuna nini apo? tena huyo mkuu wa mkoa mwenyewe ni 'mlokoke', hawakemei au na yeye ana kagunduu ka ajali, au anawatoa nani??Gari limekata Steering rod haina ujanja hio.
Lakini kwenye hiyo report sijaona neno "overtake" soma vizuri bro.ina maana hiyo sterling rod ya hilo gari ilikatika wakati dereva ana overtake kwenye 'blind corner'
Mahabusu sio watu polisi ndio watutumesoma kuhusu kuhifadhiwa kwa miili ya askari wawili waliofariki,vipi kuhusu miili ya watuhumiwa wawili waliofariki katika ajili hiyo?
MTU Yuko mwendokasi halafu unasema wanatolewa kafaraina maana hiyo sterling rod ya hilo gari ilikatika wakati dereva ana overtake kwenye 'blind corner' ikiwa kwenye speed ya ya kifo??, kingine ni huyo mkuu wa mkoa injia nani, yaaani kila mkoa anauongoza lazima pepo za maajali kwa watumishi wa idara za serikalini ziwaandame, kuna nini apo? tena huyo mkuu wa mkoa mwenyewe ni 'mlokoke', hawakemei au na yeye ana kagunduu ka ajali, au anawatoa nani??
[emoji1]Wakati naanza maisha 1991 nilipata ajira noremco moshi, same arusha namanga project sssa dogo mmoja msambaa much noo alikabidhiwa volvo tan 18 mpya, katika kazi kizembe zembe aliangusha lile tipa kizembe akakimbilia kukata sterling rod wazungu wakamwambia mshamba mkubwa utaoezea jela
Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
Umekiona kinywaji pendwaDaaah Hilo ni gari au can ya Baltika imefinyangwa!??
R.I.P ilaa daah! Mbaya sana hii!
Dereva alikua kijana Faraj sikumbuki kumuona akiwa kalewa RIP Afande FarajGari haina kitu kinaitwa STERLING ROD
Kamanda shule yake ni suspect, hatupaswi kuweka usalama wetu na maisha yetu kwenye vichwa vya watu kama huyu RPC
Gari ilikuwa na spidi ya mwanga na dereva alikuwa tingas, si ajabu
Kamanda karuka kiunzi.Kwa kuharibika kote huko, mtu kweli utakuwa sahihi kusema tie rod ilikatika kweli?