Mwalimu wa tuisheni JF-Expert Member Joined Oct 19, 2019 Posts 6,602 Reaction score 10,801 May 1, 2022 #81 [emoji23][emoji23] steering rod ikikatika gari haipinduki acheni masihara,
Chaliifrancisco JF-Expert Member Joined Jan 17, 2015 Posts 26,021 Reaction score 79,710 May 1, 2022 #82 1.Ajali imetokea Geita na sio Mwanza. 2. Steering rod imekatika kwa uchunguzi gani waliofanya? Au wamebuni tu ili kuficha ukweli kuwa hawa watu wako reckless sana barabarani. Yani huwa wanajimilikisha barabara na kuvunja sheria zote za barabarani.
1.Ajali imetokea Geita na sio Mwanza. 2. Steering rod imekatika kwa uchunguzi gani waliofanya? Au wamebuni tu ili kuficha ukweli kuwa hawa watu wako reckless sana barabarani. Yani huwa wanajimilikisha barabara na kuvunja sheria zote za barabarani.
Mwalimu wa tuisheni JF-Expert Member Joined Oct 19, 2019 Posts 6,602 Reaction score 10,801 May 1, 2022 #83 Duduvwili said: Dereva alikua kijana Faraj sikumbuki kumuona akiwa kalewa RIP Afande Faraj Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app Click to expand... Kama hakulewa, basi alitaka sifa ya kumaliza namba kwenye speedometer
Duduvwili said: Dereva alikua kijana Faraj sikumbuki kumuona akiwa kalewa RIP Afande Faraj Sent from my SM-G532F using JamiiForums mobile app Click to expand... Kama hakulewa, basi alitaka sifa ya kumaliza namba kwenye speedometer