LGE2024 Polisi Rukwa: Vijana CCM hawakuwa na nia ya kuchoma nyumba ya Mbunge

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
A
Afande! Kumbe nyumba ya DC Nkasi ni karakana ya pikipiki za CCM kiasi zinakusanywa pale na kuletewa petroli kwenye madumu na vijana wa CCM? Mbona weledi unazidi kutokomea katika Jeshi letu la Polisi kwa kadri nchi inavyopaswa kuendelea? Viongozi msitupeleke gizani!

Na kiongozi au mtendaji unayefumbia macho vitendo kama hivi kwa kupindisha ukweli yafaa ujitafakari hata kama unafanyabhivyo kulinda kutumbua kwani siyo lazima uishi kwa nafasi hiyo ajira binafsi jama kilimo zipo tu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…