Kama shida ni yeye ni kweli its time heri aondoke tu. Nadhani inatakiwa sasa mtu awajibike.What the f***k are they doing timu ina players wazuri lakini inajikokota tu.Kaze atuachie team yetu.
Amaa kweli wewe ni mtaalamu wa kutabiri!! Hivi mtani ulilijuaje hili?Mtani si nilisema mpk full time magoli yatakuwa mawili🤔 ndivyo ilivyotokea🤣🤣
Kama kawaida waambie muda ni ule ule saa 10 jioniPolisi tanzania wanauliza waamke saa ngap?😁😁
Mkuu tuliza hasira na usikate tamaa kumbuka bado mna nafasi ya kuwa mshindi wa tatu endapo mtakaza gemu zijazoHii timu hivi wako serious kweli hawa wap...uzi.
They are f****cking crazy hawa wachezaji and useless piece of trashes.
Nimekwazika kwa kweli kwa mambo haya wanayofanya wachezaji
Pole sana Mkuu, imbeni tu ule wimbo wa "tumeipenda wenyewe....chaguo letu ni nyie...wacha tuisome namba eee...Msimbazi mbele kwa mbele"Hii timu hivi wako serious kweli hawa wap...uzi.
They are f****cking crazy hawa wachezaji and useless piece of trashes.
Nimekwazika kwa kweli kwa mambo haya wanayofanya wachezaji
Yanga ni kama vile vidundio vya wasichana... Kila anaekutana nacho anakidundadunda alafu akichoka anampa mwingine nae anadunda[emoji1][emoji1]
UmetishaGoli la offside,mechi hii inaisha kwa sare
Mtani kule kwetu si unashabikia liverpool 😁😁Amaa kweli wewe ni mtaalamu wa kutabiri!! Hivi mtani ulilijuaje hili?