Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mbona Rais kasema wapo.Jeshi la polisi makao makuu limetoa taarifa ya kupinga taarifa za taharuki mitaani za watoto kutekwa ,kuuwawa na kunyofolewa viungo
View attachment 3047375
Wanajuaa hao wasikuumizee kichwa mkuu,ww pambania kombe lako police CCM Toka lini wakafanya kazi Kwa weledikwa waliosikiliza hotuba ya mama samia, amesema dodoma kuna mtoto alipotea na kunyofolewa viungo. kwani hawa polisi wanampinga mh rais?
hivi unawezaje kutoa kauli dhidi ya kile alichosema Rais wako.Wanajuaa hao wasikuumizee kichwa mkuu,ww pambania kombe lako police CCM Toka lini wakafanya kazi Kwa weledi
Mkuu imagine nimeyoka kumsikiliza raisi channel ten anaongelea mauwaji nakuja jf nyuzi ya kwanza ya polisi wanasema hakuna mauwaji🤣🤣mbona Rais kasema wapo.
Siku hizi ni mwendo wa kupinga tu, hadi wanapingana wenyewe kwa wenyewe..!!Jeshi la polisi makao makuu limetoa taarifa ya kupinga taarifa za taharuki mitaani za watoto kutekwa ,kuuwawa na kunyofolewa viungo
View attachment 3047375
Kwani hata za mtoto albino ilikuwa uzushi?Muda utathibitisha.
Hata na kwenye chungu za kula wapingane tuone,au kupingana ni kusikoliwa kwa kamba tuuuSiku hizi ni mwendo wa kupinga tu, hadi wanapingana wenyewe kwa wenyewe..!!
Hili ndiyo tatizo kubwa la Mifumo kutokusomana,kila mfumo unasema lake!!Siku hizi ni mwendo wa kupinga tu, hadi wanapingana wenyewe kwa wenyewe..!!