Hiyo inaitwa ni "Insubordination" ni kosa kubwa. Bora wangelikaa kimya.hivi unawezaje kutoa kauli dhidi ya kile alichosema Rais wako.
Hayo ni matokeo ya uchawa,utendaji wa kichawa ni wa hofu hofu,haswa pale unapokuwa na boss ambaye hasemi semi sana,unakuta surbonate wanafanya kazi kwa kudhani boss atafurahi bila ya kutoa ushauri stahiki au kufuata Sheria,Kanuni zinasema je,"utakuta police abduction wakisema sio wao wakibanwa na ikabainika dhahiri ni wao wanasema hiyyo ni arrest,Sasa unajiuliza suala la pili hakuna mtu yoyote anaweza zuia arrest halali yoyote,kwa yoyote,popote ,wowote kwasababu ipo kisheria.na zifanyike kwa kufuata Sheria.hivi unawezaje kutoa kauli dhidi ya kile alichosema Rais wako.
Kuna mtu alishawahi sema kuhusu serikali KUPARALAIZIII..!! Viungo vyenye paralysis huwa havina mawasiliano na vingine.Hili ndiyo tatizo kubwa la Mifumo kutokusomana,kila mfumo unasema lake!!
Jeshi la polisi makao makuu limetoa taarifa ya kupinga taarifa za taharuki mitaani za watoto kutekwa ,kuuwawa na kunyofolewa viungo.
Muda utathibitisha.