Polisi Tanzania hawajui "Modern Policing??" Hawakuomba radhi ujio wa Kamala Harris. Hawajaomba radhi ujio wa Marais wa Afrika...

Polisi Tanzania hawajui "Modern Policing??" Hawakuomba radhi ujio wa Kamala Harris. Hawajaomba radhi ujio wa Marais wa Afrika...

Eti wakuu, alipokuja makamu wa Rais wa Marekani si mnakumbuka jinsi barabara zilivyofungwa na watanzania kupata bughudha ya usafiri pamoja na adha nyingine. Nilitegemea Jeshi la Polisi wangetoa statement ya kuwaomba radhi watanzania kwa usumbufu wowote uliojitokeza, ila ikawa kimyaaaaa.

Juzi pia kulikuwa na mkutano wa viongozi wa Africa kuhusiana na suala la nishati, shule pamoja na baadhi ya barabara zilifungwa, ila baada ya viongozi hao kuondoka, Polisi nao kimyaaaaa kama kawaida yao.

Polisi hawajatoa statement yoyote ya kuwaomba msamaha watanzania kutokana na usumbufu wowote uliojitokeza.

Ina maana Polisi wa Tanzania hawajui namna ya kufanya Upolisi wa kisasa?? (Modern Policing) au mimi ndio mshamba??
Sio kazi yao, muda ukifika wenye jukumu la kuomba radhi watafanya hivyo
 
Mimi kama mhitimu wa chuo Cha polisi(CCP) miaka 30 iliyopita nakumbuka mwalimu alituambia raia hatakiwi kuombwa msamaha hata kama umemkosea na ikiwezekana unamwongezea adhabu Kali ili kuleta maana ya neno jeshi.
 
Mimi kama mhitimu wa chuo Cha polisi(CCP) miaka 30 iliyopita nakumbuka mwalimu alituambia raia hatakiwi kuombwa msamaha hata kama umemkosea na ikiwezekana unamwongezea adhabu Kali ili kuleta maana ya neno jeshi.
Ulimbukeni..
 
Mimi kama mhitimu wa chuo Cha polisi(CCP) miaka 30 iliyopita nakumbuka mwalimu alituambia raia hatakiwi kuombwa msamaha hata kama umemkosea na ikiwezekana unamwongezea adhabu Kali ili kuleta maana ya neno jeshi.
Duh!... hii kali
 
Mkuu, please futa hii statement kwa maana watakuja kuanzisha debate nyingine hapa hatari. Polisi hawapendi kuonekana kuwa sio Jeshi..
Moja ya sentensi ambayo unipa ukakasi kuisikia/kuitamka/kuisoma ni
JESHI LA POLISI, kwa maana naona kama ni vitu viwili tofauti. Pengine mwenye ufahamu anipe elimu katika hili
 
Moja ya sentensi ambayo unipa ukakasi kuisikia/kuitamka/kuisoma ni
JESHI LA POLISI, kwa maana naona kama ni vitu viwili tofauti. Pengine mwenye ufahamu anipe elimu katika hili
Police service is a civilian institution with paramilitary elements/trainings.
 
Back
Top Bottom