Polisi Tanzania nipeni 'Rukhsa' ya 'Kuwashikisha' Adabu Wanaume 'Dhaifu' na 'Wazembe' kama hawa kwani Wanatutia mno Aibu

Polisi Tanzania nipeni 'Rukhsa' ya 'Kuwashikisha' Adabu Wanaume 'Dhaifu' na 'Wazembe' kama hawa kwani Wanatutia mno Aibu

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Mfanyakazi wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) jijini Dar es Salaam, Ombeni Alfayo, anashikiliwa na Jeshi la Polisi kwa tuhuma za kumkata mke wake kiganja cha mkono wa kulia kwa sime kwa madai ya wivu wa kimapenzi.

Nipashe

Ukiona Mwanaume yoyote anafanya 'Upumbavu' na 'Ushamba' huu jua hana 'Mahawara' halafu hajui pia 'Kutongoza' na ana Uwendawazimu sana.
 
Mkuu tukio hilo ni lakulaani na kumuomnba Mungu akupe mwisho mwema. Lakini usithubutu kumuhukumu/ kumtukana wala kumdarau jamaa mana mambo ya kumdhuru mtu ni kidogo sana. Wanawake wana maudhi mengi na ukizingatia alikuwa mfanya kazi na walikuwa wakiishi mbali mbali. Ko sema machache mkuu.
 
inasikitisha sanaa niliiona hiyo Picha

Mwanaume yoyote mwenye 'Mahawara' wengi na wenye 'Uzuri' unaotofautiana wala hawana 'Wivu' ila wasiokuwa nao ndiyo wana 'Upumbavu' huu.
 
Mkuu tukio hilo ni lakulaani na kumuomnba Mungu akupe mwisho mwema. Lakini usithubutu kumuhukumu/ kumtukana wala kumdarau jamaa mana mambo ya kumdhuru mtu ni kidogo sana. Wanawake wana maudhi mengi na ukizingatia alikuwa mfanya kazi na walikuwa wakiishi mbali mbali. Ko sema machache mkuu.

Kwenda zako huko nyie ndiyo wale wale. Hivi nimuonee 'Wivu' Mwanamke wangu je, nilimkuta 'Bikra' nilipompata? Acheni 'Upuuzi' wenu huu sawa?
 
Mkuu tukio hilo ni lakulaani na kumuomnba Mungu akupe mwisho mwema. Lakini usithubutu kumuhukumu/ kumtukana wala kumdarau jamaa mana mambo ya kumdhuru mtu ni kidogo sana. Wanawake wana maudhi mengi na ukizingatia alikuwa mfanya kazi na walikuwa wakiishi mbali mbali. Ko sema machache mkuu.
right
 
Hahahahh solution yako inaukakasi
Vimada we unao wangap ??

Nje ya Yule ambaye nimemuweka katika 'Radar' yangu ya 'Kumuoa' pale tu 'Mizimu' yangu ikiridhia wa nje nimewapunguza hadi wamefikia 32 sasa.
 
Kuliko kuwa na Ke moja bora usiwe nayo kabisa.
Ukiwa na moja halafu ukamwaga hisia zote siku ikikuzingua ndo mtu anafanya ungese Kama huu.
Mwanaume kuwa na K nne walau utaishi kwa utulivu.
 
Kuliko kuwa na Ke moja bora usiwe nayo kabisa.
Ukiwa na moja halafu ukamwaga hisia zote siku ikikuzingua ndo mtu anafanya ungese Kama huu.
Mwanaume kuwa na K nne walau utaishi kwa utulivu.

Nawapenda sana Wanaume kama Wewe ambao hamuwezi kuwa na Mke Mmoja tu kama hawa 'Wapuuzi' hadi 'Wivu' wao unawatuma Kujeruhi tu.
 
Huwa nachukua tahadhari sana kutoa maoni linapokujabsuala la mapenzi

Kwenda huko na Wewe ndiyo wale wale Wanaume 'Dhaifu' na 'Wazembe' ambao mkipenda mnakuwa na 'Wivu' na 'Mkisalitiwa' nao tu Mnawauwa.
 
Nimeshalizwa mno na hakuna Mwanaume aliyekuwa na 'Wivu' kama Mimi ila nilipoambiwa tu kuwa huwezi Kushindana na ulipotokea nikajiongeza.
Basi na jamaa alipogundua kuwa hawezi kushindana na pa kutokea kwa nguvu za kawaida akaamua kutumia silaha.(simtetei lakini)
 
Nawapenda sana Wanaume kama Wewe ambao hamuwezi kuwa na Mke Mmoja tu kama hawa 'Wapuuzi' hadi 'Wivu' wao unawatuma Kujeruhi tu.
Mke mmoja ni chanzo cha matatizo ya moyo, BP, PD n.k
Kitu wanachoshindwa kukielewa hao mapopoma ni kuwa hakuna mwanamke mwenye mume mmoja tu.
 
Back
Top Bottom