Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda bado wana mentality ya kimagumagu,wasitambue kuwa kuna mabadiliko kidogo,yanayowapasa nao kubadilika.
Walikuwa wanapima maji kwa mikono wakastukia kuwa wamebugiJeshi la Polisi limekanusha kuwa limepiga marufuku kusherehekea Pasaka.
ITV saa moja.
Mwenye ushahidi wa marufuku aje hapa.
Walipiga marufuku, watu walipolalamika ndio wanakuja na kauli kuwa eti hawakueleweka....Jeshi la Polisi limekanusha kuwa limepiga marufuku kusherehekea Pasaka.
ITV saa moja.
Mwenye ushahidi wa marufuku aje hapa.
Pesa za kusherekea dada unazo? Nakukaribisha tuje tusherekee wote!Serikali inaendelea na teuzi na tenguzi halafu wananchi wasishangilie Ukombozi wa Bwana Wetu Yesu Kristo
Walilogwa haswa na naniliiii
Ni la kawaida sana tu. Sema mliopo humo huwa mnajidanganya kuwa Katoliki ndio kila kitu. Kuna nchi zinaweza kusema hivyo ambazo Katoliki ni 80+. Lakini kwa nchi yako sio kiviiiiile kama mnavyojidanganya.kucheza na Kanisa Katoliki ni kucheza na moto. wakome.
Tatizo la Polisi ni hiyo statement walivyoitoa mara ya kwanza,inaonesha kuwa hakuna mtaalamu wa habari ili aufanyie uchambuzi wa kimantiki kabla haijatolewa,sasa wanatoa a comfusing statement baafae ndio wanaanza kutafutanaMara baada ya tangazo la kuzuia sherehe za Pasaka hapo jana, leo Polisi wameruhusu sherehe hizo. Swali: Kwanini wanakurupuka?Polisi Tanzania: Hatutegemei kuona sherehe za Pasaka wakati Nchi bado ipo kwenye maombolezo
Jeshi la Polisi nchini limesema halitegemei kuona sherehe na shamrashamra za Pasaka kama za kipindi cha nyuma katika kipindi hiki ambacho nchi bado ipo kwenye maombolezo ya kuondokewa na Hayati Dkt. John Pombe Magufuli. ==== Ndugu wanahabari, kama mnavyojua bado taifa letu lipo katika siku 21...www.jamiiforums.com
View attachment 1741336
View attachment 1741313