Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuwa na passport zaidi ya 1 huku ukiwa na ya Tanzania ni kosa maana Tanzania haitambui uraia wa nchi 2..Kama unataka uraia wa Tz lazima ukane uraia wa mwanzo...hii ni kwa mujibu wa sheria though mick mouse zipo sana tu watu wa immigration watatuletea magaidiInahitajika tafsiri mpya ya ugaidi sasa........wamekagua wamekuta maneno ya uchochezi wa kidini........huu nao ni ugaidi ....anyway.....
Tatizo mna akili sana,
Kwa hiyo mazingira gani yanatengenezwa? au polisi wasifanye kazi kabisa sasa?
Ni kazi waliyopewa na vyombo vya usalama vya UK, si rahisi kihivyo kumkamata mtu ndani ya UK au Ulaya ya Magharibi kwa kosa la ugaidi kutokana na sheria zao. Ni kawaida sana kwa askari wa nje wakati wanamfuatilia Muislamu na wakikwama kumkamata kutokana na sheria zao au kuogopa backlash yoyote ile basi humsubiri atoke nje ya nchi kwenda "third world" akifika huko huwaagiza askari wa hiyo nchi ya third world kumkamata kwa sababu yoyote ile hata kama ni kwenda kinyume cha sheria zao wenyewe (hiyo nchi ya third world). Kazi ya nchi ya third world ni kumkamata tu lakini wao wamagharibu ndio wanaohusika na kumhoji, kupendekeza aina gani za adhabu apewe n.k Wakati mwingine kama husafiri kuelekea nchi wanzozitaka basi hukusumbuasumbua mpaka uone kuwa kuna haja ya kutoka nje na kwenda kupumzika kidogo, hapo wakala wa tiketi hufanya kazi yake ya kukupa angalau transit katika nchi wanayoona inawafaa kukukamata. ..njaa mbaya sana!
Hujui kinachoendelea!Mkuu mbona Waingereza hawana utani na mambo ya Ugaidi, hawaogopi backlash wala nini - wanafatilia kwa karibu mpaka sleeper cells za magaidi na kuwatia mbaroni wahusika kabla hawaja tekeleza maovu yao.
Taifa linalo aminika duniani katika nyanja za upelelezi/ujasusi wa ndani na nje aliwezi kumwachia RAIA wake anaye hisiwa ni GAIDI atumie passport halali ya TAIFA hilo bila ya kumtia mbaroni!! Hii si kawaida ya Waingereza.
Mimi si amini kama Taifa hilo linaweza kumtoa kafara RAIA wake ili akamatwe kwenye third World Country kwa kuogopa backlash nchini mwao, Waingereza ni majasiri sana hawawezi kufanya usanii katika mambo ya ugaidi, wana amini kwamba a good GAIDI ni yule aliyekufa! huyo tu ndiye hawezi kuleta madhala ndani ya TAIFA lao.
Mafisa wa usalama wakikutilia mashaka wanakupiga risasi popote pale hata ukiwa barabarani au usafiri wa underground, kuna kijana wa Argentina au Brazil sikumbuki vizuri aliwahi kupigwa risasi na afisa wa usalama kwa kushukiwa ni GAIDI. Nawapongeza POLISI wa Tanzania kwa kufanikisha kuwatia mbaroni wahusika, lakini hili la mtu huyo wa Uingereza kupatikana na pass ya kusafiria ya Tanzania zinazo semekana zilihibiwa Tanzania mwaka jana, hapo hapo jamaa huyo ana passport ya UK na "anatafutwa" kwa kujihusisha na mambo ya ugaidi! Swali ni je alikuwa anatafutwa na Uingereza kweli au wanataka backlash ihamie kwetu.
Sawa lakini wasije na propagandaTuwape polisi fursa ya kutimiza wajibu wao.
Ni kazi waliyopewa na vyombo vya usalama vya UK, si rahisi kihivyo kumkamata mtu ndani ya UK au Ulaya ya Magharibi kwa kosa la ugaidi kutokana na sheria zao.
Ni kawaida sana kwa askari wa nje wakati wanamfuatilia Muislamu na wakikwama kumkamata kutokana na sheria zao au kuogopa backlash yoyote ile basi humsubiri atoke nje ya nchi kwenda "third world" akifika huko huwaagiza askari wa hiyo nchi ya third world kumkamata kwa sababu yoyote ile hata kama ni kwenda kinyume cha sheria zao wenyewe (hiyo nchi ya third world). Kazi ya nchi ya third world ni kumkamata tu lakini wao wamagharibu ndio wanaohusika na kumhoji, kupendekeza aina gani za adhabu apewe n.k
Wakati mwingine kama husafiri kuelekea nchi wanzozitaka basi hukusumbuasumbua mpaka uone kuwa kuna haja ya kutoka nje na kwenda kupumzika kidogo, hapo wakala wa tiketi hufanya kazi yake ya kukupa angalau transit katika nchi wanayoona inawafaa kukukamata.
..njaa mbaya sana!
Wapitie JF mbona yamejaa hayo "maneno ya uchochezi ya kidini kuhusu imani tofauti".
Dudus!"Kutokana na sheria zao". Inaonekana hizo "sheria zao" ni nzuri sana; huwapa hata magaidi haki ya kutamba jinsi wanavyotaka bila kubugudhiwa na "sheria hizo".
Tuwape polisi fursa ya kutimiza wajibu wao.
Taifa unalolisifia namna hii kwa upelelezi na ujasusi limezidiwa akili na "gaidi" mmoja tu! amefanikiwa kutoka ndani ya mipaka ya Uingereza bila ya kujua mpaka wanakuja kuzindushwa na polisi wa Tanzania! ha ha!Mkuu mbona Waingereza hawana utani na mambo ya Ugaidi, hawaogopi backlash wala nini - wanafatilia kwa karibu mpaka sleeper cells za magaidi na kuwatia mbaroni wahusika kabla hawaja tekeleza maovu yao.
Taifa linalo aminika duniani katika nyanja za upelelezi/ujasusi wa ndani na nje aliwezi kumwachia RAIA wake anaye hisiwa ni GAIDI atumie passport halali ya TAIFA hilo bila ya kumtia mbaroni!! Hii si kawaida ya Waingereza.