Polisi Tanzania yamkamata gaidi raia wa Uingereza!

Inahitajika tafsiri mpya ya ugaidi sasa........wamekagua wamekuta maneno ya uchochezi wa kidini........huu nao ni ugaidi ....anyway.....

waliwasiliana na uk ndio wakasema anatafutwa huko ( uk ) kwa ugaidi so kama intelligence a nchi alipotoka zinamsaka kwa ugaidi basi ndo gaidi???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…