Mbele ya Msikiti unaotizamana na Petro Station iliyo Jirani na Mgulani Barracks kuna Vibaka hapo na wakipora wanakimbilia kule Makaburini.
Kwingineko ni huku kama unakuja ilipokuwa TCC kuelekea Kona ya Keko kuna Kipande hapo kina Giza Watu Wanaporwa.
Tafadhali kwakuwa Uwanja umejaa mpaka Pomoni waanrisheni Watu walioko Nje warejee Makwao kwani wakiendelea Kulazimisha kuwa hapo na Wengine kutaka Kuingia Cognizant (alias) Adorable Angel Mimi naiona Stampede na huenda hata Watu Kujeruhiwa au Kufa pia na ikamharibia Muandaaji wa Tamasha la Vuka na Chako leo.
Kwingineko ni huku kama unakuja ilipokuwa TCC kuelekea Kona ya Keko kuna Kipande hapo kina Giza Watu Wanaporwa.
Tafadhali kwakuwa Uwanja umejaa mpaka Pomoni waanrisheni Watu walioko Nje warejee Makwao kwani wakiendelea Kulazimisha kuwa hapo na Wengine kutaka Kuingia Cognizant (alias) Adorable Angel Mimi naiona Stampede na huenda hata Watu Kujeruhiwa au Kufa pia na ikamharibia Muandaaji wa Tamasha la Vuka na Chako leo.