Pre GE2025 Polisi: Tunachunguza kubaini chanzo na watu waliohusika kumchukua Ali Kibao

Pre GE2025 Polisi: Tunachunguza kubaini chanzo na watu waliohusika kumchukua Ali Kibao

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
TAARIFA KWA UMMA

Jana Septemba 6,2024 zilisambaa taarifa kwenye mitandao ya kijamii ikieleza kuwa jioni maeneo ya Tegeta Jijini Dar es Salaam, mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la Ally Mohamed Kibao, akiwa safarini na basi la Tashrif alichukuliwa na kushushwa toka kwenye basi hilo na watu ambao hawakuweza kujulikana majina yao.

Aidha, leo Septemba 7,2024 tumesikia taarifa kuhusiana na tukio hilo kupitia vyombo vya habari iliyotolewa na Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo John Mnyika.

Jeshi la Polisi, lingependa kutoa taarifa kuwa, lilipokea taarifa hiyo na kuanza uchunguzi wa kubaini kilichotokea, chanzo chake na watu waliohusika ni akina nani.

Imetolewa na:

David A. Misime - DCP

Msemaji wa Jeshi la Polisi

Makao Makuu ya Polisi

Dodoma, Tanzania

View attachment 3089524

Pia soma
Kutokana na hali mbaya kabisa ya kiusalama iliyopo hapa nchini hivi sasa, kuna kila sababu ya ku-declare the State of Emergency.

Siyo siri, hali ni mbaya sana.
Uhakika wa kufa leo hii ni mkubwa zaidi kuliko matumaini ya uwezekano wa kuiona kesho.
 
TAARIFA KWA UMMA

Jana Septemba 6,2024 zilisambaa taarifa kwenye mitandao ya kijamii ikieleza kuwa jioni maeneo ya Tegeta Jijini Dar es Salaam, mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la Ally Mohamed Kibao, akiwa safarini na basi la Tashrif alichukuliwa na kushushwa toka kwenye basi hilo na watu ambao hawakuweza kujulikana majina yao.

Aidha, leo Septemba 7,2024 tumesikia taarifa kuhusiana na tukio hilo kupitia vyombo vya habari iliyotolewa na Katibu Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo John Mnyika.

Jeshi la Polisi, lingependa kutoa taarifa kuwa, lilipokea taarifa hiyo na kuanza uchunguzi wa kubaini kilichotokea, chanzo chake na watu waliohusika ni akina nani.

Imetolewa na:

David A. Misime - DCP

Msemaji wa Jeshi la Polisi

Makao Makuu ya Polisi

Dodoma, Tanzania

View attachment 3089524

Pia soma
Sitashangaa 'uchunguzi' ukadai aliuwawa kwa wivu wa mapenzi na hii ndipo Tz ilipofikia .
Hawa polisi wanamchunguza nani kwa mfano? bull shit
 
Nashauri michezo ya JUDO,KOMBAT,KARATE,KUNFUU na n.k inahusiana na ngumi ambapo ndani yake utakutana na misemo mbalimbali kama mawashigeli,kakatogeli,msubidachi na n.k ililudishwe kwa wingi mtaani iwe kama shule na Walimu wa hyo michezo waje mitaani na kufungua vituo vya mafunzo tena wawe wengi kama wasajili laini za simu ili kila moja awe fiti katika kujilinda na adui au maadui...Angalizo itumike kama Self defence not Attack kama miaka ya 1990 ilivokuwa.
 
Akipatikana aliemuua Mzee Kibao watapatika na vijana WA Kiluvya😔😔
 
Back
Top Bottom