DOKEZO Polisi tunaomba msaada. Tunahisi dada yetu ameuawa na mume wake ambaye ni Polisi, inasikitisha sana!

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Camilius Wambura amekuwa anaongoza kwa mkono wa damu.
Wa chini yake wanaiahi kama bosi wao.

Mama anaendelea kufurahia utendani wa kikaburu wa mapolisi
 
Kama mshazika huyo chezeni nae makida tu. Binafsi ningehakikisha anabaki bila miguu wala mikono ili ajifunze.
 
Mmekua wazembe Sana
Sijui ni umasikini, ujinga au woga uliokithiri maana mngekua hata na chembe ya ujasir wakususia mazishi Hadi mwili ufanyiwe uchunguzi
 
Hiyo tarehe 23/01/23 ni sahihi kweli? Kama ni sahihi kweli siku zote hizo zaidi ya mwaka mzima walikuwa wapi hao ndugu wasipiganie haki ya marehemu ndugu yao? Ngoja niishiie hapa maana kwangu bado haiingi akili labda mleta habari atakuwa kakosea tarehe.
 
Wewe utakuwa police
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…