Polisi VS Majambazi

Mkulu Ngambo Ngali,

Nilipozungumzia vita vya rifle, I was so specific. Kwenye vita vya rifle, risasi zikiisha, mnatumia singe (waijua singe weye?), na hapo ndipo wenye idadi kubwa ya wapiganaji huwa washindi. Na kipengele hiki ni somo la siku nzima katika mafunzo ya kijeshi kama ulipitia jeshini (JKT) lakini.

Ooooh nakumbuka kale kawimbo " ....singe mwana kalalila....."
 

Nakupa mfano mdogo tu wewe ulivyokuwa unaiba kitu na mtu akakukamata au kukuona ni nani mwenye wasiwasi??? kwahiyo Jeshi letu linapambana kikamilifu ili kurinda raia wake sasa wewe unataka wafe na wewe watakulinda nani shuuuuuuuuuu waini tulia acha kukurupuka tu futa hoja yako
 

Tatizo kubwa hawa wanaoshiriki katika jeshi letu ni form IV failures na ndio watendaji wa kila siku (operations)




Nahisi wewe ni miongoni mwao. Kudadadeki, nitakufwata!
 
Hili suala hata mimi linanipa wasiwasi,majambazi wanafanya vibaya kuua watu,lakini polisi wasijisifie kuyaua majambazi kwani wanahalalisha sheria mkononi. Kama kuna uwezekano wa kuyakamata yakamatwe.

Hiyo ndio njia nzuri ya kumaliza kesi mapema na kihalali. Wauwawe wote mpak waishekabisa. ukipeleka kesi mahakamani ni usanii tupu. siku 2 3 unamuona jamaa kaachiwa alafu anrudia kazi yake ya ualifu. POLISI MALIZENI HUKO HUKO ILA MSIUE WASIO NA HATIA KAMA WALE WAFANYABIASHARA WA MADINI.
 
Mara nyingi yanapouwawa majambazi, deal inakuwa imeleak. Na aliyetoboa ni mmoja wapo au mtu wa karibu, kuwa leo tunafanya tukio fulani mahali fulani!
 
Majmbazi wanachosha jamani nyie acheni kabisa.
 

Ninaijua singe, nilifundishwa halikuwa somo la siku moja kama unavyotaka niamini. Nimeitumia singe na mimi kwa taarifa yako mimi ni decorated soldier.

jambazi anayetumia singe sio jambazi hata siku moja, jambazi yoyote anataka kuiba na kukimbia na sio kupigana kwenye tukio. Kwenye kupanga ujambazi kitu muhimu ni escape route ya kutoka salama na mali zao kwenye tukio la ujambazi na hivyo polisi wanahitaji kucounter kuziba escape route bila kuwauwa nadhani somo limeeleweka.

kuuwa sio lazima na hakuna tija kukamata ni lazima na kuna tija.
 

<<Hapo angalau umetoa changamoto zinazoendana kwa kiasi fulani na matukio ya ujambazi!!!!!! Matukio mengi yanatengenezwa na askari( askari police, jeshi) Tukio kama halikutengenezwa utaona uwajibikaji wake unakuwa mkubwa sana, na hata ukifuatilia maafisa wengi wa ASKARI wametajirika kwa kutimia njia hizo hizo. Uko sasa mkubwa wala hkkosea kwa hoja yako>> Ni mawazo wala tstafutane!!!!!!!!!!111
 
Yote semeni ila uadilifu wa jeshi letu la Polisi unatia mashaka. Askari wengi kwa muda mrefu wamekuwa na mahusiana na majambazi na hilo linafahamika huku mitaani na viongozi wa Polisi wanalijua hilo ila wamenyamaza. Tukio la Ukerewe ni moja ya mifano hai. Mtayasikia mengi toka huko.
 
Polisi ni Proffessionals wa kutumia silaha unlike majambazi, ambao mostly hawana hata mahala pa kujaribishia silaha zao, ndio sababu wanashindwa kupambana na polisi. Hakuna jibu zaidi ya hilo.
Una uhakika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…