Mkulu Ngambo Ngali,
Nilipozungumzia vita vya rifle, I was so specific. Kwenye vita vya rifle, risasi zikiisha, mnatumia singe (waijua singe weye?), na hapo ndipo wenye idadi kubwa ya wapiganaji huwa washindi. Na kipengele hiki ni somo la siku nzima katika mafunzo ya kijeshi kama ulipitia jeshini (JKT) lakini.
Ooooh nakumbuka kale kawimbo " ....singe mwana kalalila....."
Nilipozungumzia vita vya rifle, I was so specific. Kwenye vita vya rifle, risasi zikiisha, mnatumia singe (waijua singe weye?), na hapo ndipo wenye idadi kubwa ya wapiganaji huwa washindi. Na kipengele hiki ni somo la siku nzima katika mafunzo ya kijeshi kama ulipitia jeshini (JKT) lakini.
Ooooh nakumbuka kale kawimbo " ....singe mwana kalalila....."