ngoshwe
JF-Expert Member
- Mar 31, 2009
- 4,131
- 937
Ki polisi neno "kurushiana risasi" lina tafsri pana kuliko huko uraiani linavyoeleweka.
Kwao jambazi au whichiever person ambaye analeta ukaidi au kuonekana sugu kwenye majalada ya polisi ni mtu hatari anapaswa kuthibitiwa kwa gharama zozote hata kuuwawa kama sio kuharibiwa vioungo vyake vya mwili hata ikwa "nyeti" macho, ubongo, nk....huo ndo usalama wa raia bana!.
Unategemea, polisi waseme, tumeaua tu jambazi halikuwa na silaha au kujibizana risasi???. Kaulize habari ya Kamanda Laurian Sanya kule Mbeya, Kamanda Chiko kule Kilimanjaro, Kamanda Tossi na Msika kwa Kagera nk. Vyeo vya Polisi haviji pasipo rekodi ya matukio ya kutoa roho za watu bana!.
Kwao jambazi au whichiever person ambaye analeta ukaidi au kuonekana sugu kwenye majalada ya polisi ni mtu hatari anapaswa kuthibitiwa kwa gharama zozote hata kuuwawa kama sio kuharibiwa vioungo vyake vya mwili hata ikwa "nyeti" macho, ubongo, nk....huo ndo usalama wa raia bana!.
Unategemea, polisi waseme, tumeaua tu jambazi halikuwa na silaha au kujibizana risasi???. Kaulize habari ya Kamanda Laurian Sanya kule Mbeya, Kamanda Chiko kule Kilimanjaro, Kamanda Tossi na Msika kwa Kagera nk. Vyeo vya Polisi haviji pasipo rekodi ya matukio ya kutoa roho za watu bana!.