Polisi wa Dubai jinsi walivyotumia (Operation fox hunt 2) kumnasa tapeli nguli Mnaijeria billionaire wa Instagram mwenye ukwasi wa kusisimua

Polisi wa Dubai jinsi walivyotumia (Operation fox hunt 2) kumnasa tapeli nguli Mnaijeria billionaire wa Instagram mwenye ukwasi wa kusisimua

Me namtazama kwa jicho la tatu. Jamaa ni akili kubwa na mpambanaji. Sema njia aliyotumia sasa.
 
Billgate anavyozitapeli nchi za kiafrika ni sawa
Mnaija kuwavesha watu kawa shetani, na waswahili tunashangilia.
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Mkuu salute, umeandika vizuri kweli, naona umeona kuna viashiria fulani umeamua ufunguke, nimesita kumuita jina ulilomuita ila viashiria vyote niliviona kuna watu hamna vifua vya kutunza maneno..Kumbe nilikuwa natumia maneno laini sana
Haaaaaahaaaaa mwanangu we tapeli nishakushtukia mbona unachanganya mada? Mambo ya ada sijui kula watoto kuvaa hayo yapo tu na tunapambana kuyaweka sawa kwani huu muda tunapojadili hii ishu unaathiri nn kwenye utafutaji? Kuna watu tupo makazini mda huu unachungulia jf kdg unaendelea na mishe ishu kubwa hapa tapeli kakamatwa sio tajiri kaanguka tumefurahi tapeli kukamatwa siwezi furahia mtu na utajiri wake wa halali bahati mbaya kaanguka hiyo roho ya kichawi sijawahi kuwa nayo kama nawe ndio walewale ipo siku tutafurahia pia anguko lako naona umeguswa sana!
Na wewe baada ya kusoma thread hii a/c yako imeongezeka sh. Ngapi?
Mko kama wadada vile wewe na wenzio dah nawapa pole sana hakika mtaendelea kua masikini maisha yenu yote kwa tabia hii ya kufurahia wenye pesa wakianguka. nawapa pole.
 
The only mistake this guy did was trying to scam Uncle Sum (the U.S government). They will eventually get you in the end.

The guy even managed to hack into U.S system and re-route President Trump's stimulus package into his account.
Binafsi i respect this guy so much, nimempigia saluti, ni mwanaume anatafuta pesa, get rich or die trying, sio kama wavulana wengine hapa plus mtoa mada wamekalisha matako yao hawana hata sumni wanamsuta mwanaume mwenzao aliyekua anatafuta pesa
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Mkuu salute, umeandika vizuri kweli, naona umeona kuna viashiria fulani umeamua ufunguke, nimesita kumuita jina ulilomuita ila viashiria vyote niliviona kuna watu hamna vifua vya kutunza maneno..Kumbe nilikuwa natumia maneno laini sana
Ah..ndg yng nimeona unazunguka zunguka saaaaaaana!
 
Mko kama wadada vile wewe na wenzio dah nawapa pole sana hakika mtaendelea kua masikini maisha yenu yote kwa tabia hii ya kufurahia wenye pesa wakianguka. nawapa pole.
Itakuchukua muda kuelewa tunachoongelea na wewe unachokisema, niombe tu niishie hapo maana unaelekea kunivunjia heshima.
 
Washangae hawa mafukara.
Tumeletewa Ukimwi na ARV's hakuna anayehoji
Tumeletewa Kansa hakuna anayehoji
Tumeletewa Kisukari na Presha, hakuna anaehoji

Umasikini wa fikra huu! Hebu waambie hao mambumbumbu wanitajie Tajiri mmoja tu mwenye Utajiri ulio wa halali
 
Tumeletewa Ukimwi na ARV's hakuna anayehoji
Tumeletewa Kansa hakuna anayehoji
Tumeletewa Kisukari na Presha, hakuna anaehoji

Umasikini wa fikra huu! Hebu waambie hao mambumbumbu wanitajie Tajiri mmoja tu mwenye Utajiri ulio wa halali
Kwa fikra hizi umasikini hautakoma
 
Back
Top Bottom