Polisi wa Hamas waanza kazi zao jijini Gaza. Wapita masokoni kudhibiti mfumuko wa bei

Polisi wa Hamas waanza kazi zao jijini Gaza. Wapita masokoni kudhibiti mfumuko wa bei

Webabu

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2010
Posts
8,870
Reaction score
14,258
Tangu vikosi vya Israel viondoke kaskazini ya Gaza mamia kwa maelfu ya wananchi wamekuwa wakimiminiko kutoka walikojificha na wengine kurudi kutoka kusini na kujaza mitaa iliyojaa magofu na kifusi.
Shida kubwa waliyokutana nayo ni ukosefu wa chakula na kwa vile vichache vinavyopatikana masokoni kuwa ni ghali kupita kiasi.
Shida ya chakula na kupaa kwa bei za bidhaa kumewalazimu askari wa Hamas kuingilia kati na kuamrisha kushushwa kwa bei hizo.Kwa mfano bei ya kilo ya tambi imewekewa kiwango isizidi shekeli 12.

North Gazans Scrounge Animal Feed for Flour as Markets Empty

 
Tangu vikosi vya Israel viondoke kaskazini ya Gaza mamia kwa maelfu ya wananchi wamekuwa wakimiminiko kutoka walikojificha na wengine kurudi kutoka kusini na kujaza mitaa iliyojaa magofu na kifusi.
Shida kubwa waliyokutana nayo ni ukosefu wa chakula na kwa vile vichache vinavyopatikana masokoni kuwa ni ghali kupita kiasi.
Shida ya chakula na kupaa kwa bei za bidhaa kumewalazimu askari wa Hamas kuingilia kati na kuamrisha kushushwa kwa bei hizo.Kwa mfano bei ya kilo ya tambi imewekewa kiwango isizidi shekeli 12.

North Gazans Scrounge Animal Feed for Flour as Markets Empty

kwahiyo mfanyabiashara akipandisha bei anakula shaba au nanakwendra ndrani?

kwahiyo bei ya tambi inalindwa na polisi na inatakiwa isizidi shekeli 12 za Israel right ?🐒
 
kwahiyo mfanyabiashara akipandisha bei anakula shaba au nanakwendra ndrani?

kwahiyo bei ya tambi inalindwa na polisi na inatakiwa isizidi shekeli 12 za Israel right ?🐒
Shaba hawapigwi watu kiovyo ovyo.
Gaza wana nidhamu sana na mambo yao.
 
lakin mbona wanatumia shekel ya israel na sio dola au dinar ya jordan ndugu zao?
Ni miongoni mwa vitu ambavyo wamelazimishwa navyo na hawajawa na namna ya kufanya mbadala wake.
 
Maisha plus

Mabosi wanakula bata Qatar
Hakuna mabosi Palestina.Wamegawana majukumu kistarejia
Walio Qattar wana kazi zao na walio Gaza wana kazi zao na wana ushirikiano wa ajabu sana.
 
Back
Top Bottom