Polisi wa Iran wafunga ofisi ya Turkish Airlines kufuatia wafanyakazi wake wa kike kukataa kuvaa hijabu

waafrika ambao tupo civilized tunawachora wapumbafu wanavyohangaika kutetea mfumo upi wa kiutawala ni bora kati ya Mfumo wa waroma na Waarabu🤣🤣
 
mamlaka ya viwanja vya ndege Iran ndo inaathirika kaka Turkish Airlines wako sahihi
 
Hahaha kuna wazazi wana hasara aisee, waweza kuta na wew ni jinsia ya kiume
 
Si ndio nakuambia si kila mvaa hijabu anavaa hijabu anafahamu mana yake, hijabu mana yake ni kujikinga na machafu.

Iran kuweka sheria ya hijabu sio kwamba hakuna wa Iran wachafu, lakini ni good step kuzia machafu.

Mimi natakia nini kuchunguza ya watu huko pwani, si ndio kila siku nasema hapa sio kila mwenye jina la kislamu ni muislamu, na si kila mvaa hijabu anajua mana ya hijabu.

Hio ya kuziwa mbuzi kwenye gunia haha safi sana, we unadhani kila mwanaume ni kichaa akaenda kuoa tu, bila kuchunguza backgrounds za sehemu anazo kwenda owa.

Mimi nilifundishwa na wazazi wangu wakati unaenda kuoa tazama vitu vinne alivyo tuusia Mtume Muhammad.

Dini yake, uzuri wake, mali yake na family yake, sa we uende kuoa sehemu family haijatulia, dini zero hata huwajui thamani ya mili yao, si ufala tu.
 
Zamani nikikuwaga nawatamani, ila nilivowalamba watatu wanne nilikoma kabisa!
 
hata ku klux klan wanavaa😄😄
 
Jamaa huna hoja kabisa yaani halafu kujenga hoja hujui
Ajali ya ndege haijawahi au hazijawahi kutokea marekani uingereza ufaransa nk
Mwaka jana sijui juzi si boeng walisitisha utengenezaji wa aina moja wapo y ndege wao kisa zinaanguka kama majani mtini
Linapokuja suala la ajali hua halina kinga makamo wa rais wa malawi alipanda iran air mkuu wa majeshi pale kenya alipanda iran air?
Kuhusiana na sheria za kimataiafa kwakua unapenda ushoga ndio unaona kila mtu awe shoga yaani umeona ndio mfano
Bakini na ushoga wenu wakitaka watakaa wavae hijabu hawajataka waondoke hakuna kulialia
 
ni kujisumbua tu kwa sababu ICAO huo utaratibu haiujui, hiyo misheria ya midini yenu kunasehemu haifanyi kazi kabisa😂
Pole kijana hapo iran huko kwengine kila sehemu na sheria zake
Au ushawahi kuja kuona kiongozi wa iran anakuja nchini kwako anakutafutia mume anakwambia uoelewe nae?
 
Mkumbushe accident ya ndege ya Ethopia Boeing 737–8 (MAX), au anajitoa fahamu.

Hawa hawaelewi, ndege haziruki kwa sababu ya technology, huwa zikienda salama na kurudi salama, cha kwanza kumshukuru Mungu sio America 😄
 
Tatizo unatetea kitu ambacho hukijui, cha kukusaidia tu wajue ICAO ni akinanani
 
Naona wagalatia na lgbtq+ wa jf wameumia kwel kwel
Iran anapiga hatua wao wako kupiga kelele, ile helicopter kaunguka wakanza kumsifia Israel ndio kaingusha.

Israel haoni Hudu Hudu ya Hezbullah inavyo muwacha uchi, akaone Helicopter kwenye mpaka wa Iran na Azerbaijan.

US Patriot missiles zime fail zikauwa watoto vilema kwenye Hospital pale Kyiv, waimba kwaya kimyaaa ingekuwa Iran wangeongea mwaka mzima 😄
 
Yeah!...Waturuki wanajiona wamagharibi Sana na Kuna hujiweka mbele Sana kama sauti ya ulimwengu wa kiislamu hata kujaribu kuingilia himaya za kiarabu mfano kule Syria walipopeleka majeshi, Libya n.k hili huwakera Sana Arab League.
 
Mkumbushe accident ya ndege ya Ethopia Boeing 737–8 (MAX), au anajitoa fahamu.

Hawa hawaelewi, ndege haziruki kwa sababu ya technology, huwa zikienda salama na kurudi salama, cha kwanza kumshukuru Mungu sio America 😄
Hao akili zao wameziazima kwa kina lgbtq unadhani wataweza kuwaza hilo mzeee
Yaani wanaona ishu kubwa ndege ya iran iloua watu sita
Ila kama hilo la ethiopia liliua watu sijui 200 au 300+ wanalifumbia macho walivyo vipofu
Wao wanajiona wakiweza kufanya kitu ndio uwezo wao kumbe hawajui kama uwezo wetu mdogo sana mbele za uwezo wa Mungu
 
Hawajitambui
Ile ishu ya iran israhell angehusika angechakaa zamani sana
Inabidi hata ajali zinazotokea huku za wapinga israhell itakua mossad wawe wamehusika😀
Usrahell kwake tu panawaka moto hawezi pazuia
Ila ukute hata yule kaimu rais wa malawi israhell ilihusika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…