Polisi wa Kenya waibuka washindi kwenye ulengaji shabaha baada ya kuwashinda Tanzania, Uganda n.k.

Polisi wa Kenya waibuka washindi kwenye ulengaji shabaha baada ya kuwashinda Tanzania, Uganda n.k.

MK254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
32,408
Reaction score
50,809
Kama ilivyo kawaida kwa Kenya kushinda katika kila kitu ukanda wote huu, polisi wa Kenya wameibuka kidedea na kuwa washindi kwenye michuano ya ulengaji shabaha baina ya vikosi vilivyowakilisha mataifa ya Afrika Mashariki.
---------------------------------


Kenya Police officers handpicked to flying the Kenyan flag beat their regional counterparts in the contest in an AK47 shooting contest.

This was during the third edition of the Eastern Africa Police Chiefs Cooperation Organisation (EAPCCO) Games, held at the Kasarani Stadium in Nairobi, Kenya.

According to information provided by the Directorate of Criminal Investigations, the Kenyan officers proved too tough to crack as they went on to display their laser-sharp marksmanship.



https://www.football.london/arsenal-fc/fixtures-results/arsenal-revolution-paint-north-london-16825843

Police Officer from the various East African nations pictured as they went through the paces at the AK47 shooting competition


They were eventually crowned as the overall champions, ahead of their Tanzanian, Ugandan, Rwandese and Burundian counterparts.


"Congratulations to Team Kenya for Emerging the Overall winners in the AK47 Shooting Competitions- Team Tanzania came second," the DCI tweet read.

The regional games pitting police officers from the various east African nations, kicked off on August 25, 2019, with the final day slated for September 1.

Officially founded in 1998, the tournament also serves as a practical representation of the need for cross-border cooperation against transnational and organized crime.

The games also serve as tools for fostering cooperation among security services in the 14 member states and promoting cultural diplomacy.

Netizens were quick to congratulate the Kenyan team for producing such a flawless performance.

"Congratulations team Kenya. Neighbours must-see dust because we are the top dogs," Felix Samoei stated.



Police Officer from the various east African nations taking part in the AK47 shooting competition.

Police officers from the various East African nations taking part in the AK47 shooting competition.
Police Officer from the various East African nations taking part in the AK47 shooting competition

Police Officers from the various East African nations taking part in the AK47 shooting competition.
 
Wakenya wana shabaha sana. Kuna rafiki yangu mmoja baba ake ni Mkenya na mama ake pia, aliwahi kumlenga nyoka na jiwe! Tangu siku hiyo nilimuogopa sana.
Mimi ninajua kukwepa sana,kuna siku moja mvua ilinyesha nikiwa uwanjani nacheza mpira nikakwepa matone yote ya mvua..huwez amini .....hata hiyo risasi nitaikwepa tuu
 
I always tell Bongo-flavor boys here... our ministry of interior(where the police serve under) and ministry of defense have bigger budgets than all the the other EAC nations similar budgets combined, meaning we have more money for training and equipment, mashindano kama haya yanaonyesha wazi nani bora
 
Burgets combined my foot,
Mbona njaa inawachapa daily monthly yearly au ndo inaliwa na watu wachache [emoji23][emoji23][emoji23]
I always tell Bongo-flavor boys here... our ministry of interior(where the police serve under) and ministry of defense have bigger budgets than all the the other EAC nations similar budgets combined, meaning we have more money for training and equipment, mashindano kama haya yanaonyesha wazi nani bora
 
...mbona hutaki kuleta matokeo ya soka jinsi askari wetu walivyowachapa askari wenu mbele ya mashabiki wenu pale Kasarani, au unatka niweke video hapa🙂
Kama ilivyo kawaida kwa Kenya kushinda katika kila kitu ukanda wote huu, polisi wa Kenya wameibuka kidedea na kuwa washindi kwenye michuano ya ulengaji shabaha baina ya vikosi vilivyowakilisha mataifa ya Afrika Mashariki.
---------------------------------


Kenya Police officers handpicked to flying the Kenyan flag beat their regional counterparts in the contest in an AK47 shooting contest.
 
I always tell Bongo-flavor boys here... our ministry of interior(where the police serve under) and ministry of defense have bigger budgets than all the the other EAC nations similar budgets combined, meaning we have more money for training and equipment, mashindano kama haya yanaonyesha wazi nani bora
Naona msaada wa mchele wa plastic kutoka China umeshawachanganya mnajamba tu sa hivi.
 
Back
Top Bottom