Polisi wa Kenya waibuka washindi kwenye ulengaji shabaha baada ya kuwashinda Tanzania, Uganda n.k.

Polisi wa Kenya waibuka washindi kwenye ulengaji shabaha baada ya kuwashinda Tanzania, Uganda n.k.

Utakua unaishi kwenye movies sana mpaka uhalisia wa dunia kama ilivyo umekutoka.
Hii video hapa chini itakupa baadhi ya matukio ya hali halisi


and what's your point ? kwamba hapo walenga shabaha wangebadilisha matukio ?, enzi zile watu na bayonets na kupigana vita mstari kwa mstari kwa kutumia SAR.., hawa watu walikuwa ni asset kubwa sana.., encounters za sasa hata ukiwa na ujuzi vipi ni vigumu kushinda.., utashinda vipi wakati hata kina mama unaowaona au watoto huenda nao ni maadui na wameshakuwa brainwashed ?..., utashinda vipi watu unaogombana nao wanaoperate in terms of cells na kila ukiua mmoja wengine nane wanakuja ?..,

Its more than guns you need to go within na ku-eradicate umasikini ili walio vurnelable kuwa brainwashed wasiwe hivyo...

Muulize America kwanini alishindwa Somalia...,au alisamu amri Vietnam....
 
Hon. Amb. Raychelle Omamo, CS Ministry of Defence has today graced the closing ceremony of the 3rd Edition of EAPCCO games at Moi Sports Centre, Kasarani.

The National Police Service team topped the Medal Standings in this year’s edition of EAPCCO games effectively lifting the title for the 2nd year running.

Our home team bagged a total of 129 Medals (48 Gold, 42 Silver & 39 Bronze), with Rwanda police team emerging second with a total of 38 Medals (24Gold, 5 Silver & 9 Bronze) and Uganda police team finishing third with 20 Gold, 23 Silver & 10 Bronze.

#EAPCCO2019

Nikama wasee wa downsouth this time wamekimbizwa
 
...mbona hutaki kuleta matokeo ya soka jinsi askari wetu walivyowachapa askari wenu mbele ya mashabiki wenu pale Kasarani, au unatka niweke video hapa🙂
Uaskari sii wa kucheza mpira! Tunataka mambo ya Medani.

Sijui kwanini nimemkumbuka Aquelina!
RIP.
 
and what's your point ? kwamba hapo walenga shabaha wangebadilisha matukio ?, enzi zile watu na bayonets na kupigana vita mstari kwa mstari kwa kutumia SAR.., hawa watu walikuwa ni asset kubwa sana.., encounters za sasa hata ukiwa na ujuzi vipi ni vigumu kushinda.., utashinda vipi wakati hata kina mama unaowaona au watoto huenda nao ni maadui na wameshakuwa brainwashed ?..., utashinda vipi watu unaogombana nao wanaoperate in terms of cells na kila ukiua mmoja wengine nane wanakuja ?..,

Its more than guns you need to go within na ku-eradicate umasikini ili walio vurnelable kuwa brainwashed wasiwe hivyo...

Muulize America kwanini alishindwa Somalia...,au alisamu amri Vietnam....

Nimejaribu kukuelimisha kwamba idara ya usalama ina vitengo tofauti, kunacho kwa ajili ya hayo mambo ya intelijensia, na kuna kinachohusika kwenye mapambano maana kuna mazombi huko nje yalishalishwa itikadi za kidini kuhusu mabikira 72, hawa hamna jinsi ya kuwabadilisha kimawazo, huwa wamefika mwisho, lazima waliwe shaba.

Dunia haijawahi kuishi kwa amani na haitokuja kuwa na amani, mazombi yanazaliwa kila siku, kunao wa kuhubiriwa na kubadilika, lakini kuna wale wataendelea kuzaliwa na hawatabadilika, hivyo risasi tu mwanzo mwisho. Wataua na watauawa, ndio mwendo tu, hivyo maaskari lazima wanoe makali ya silaha zao siku zote, lazima wajiboreshe kwa kupata ujuzi wa ulengaji shabaha.
 
Back
Top Bottom