Polisi wa Kenya waibuka washindi kwenye ulengaji shabaha baada ya kuwashinda Tanzania, Uganda n.k.

Polisi wa Kenya waibuka washindi kwenye ulengaji shabaha baada ya kuwashinda Tanzania, Uganda n.k.

EDNH1SbW4AALMxW.jpeg
EDKZtcVXUAEk9Bp.jpeg

Compare and contrast the stances
 
In this day and age shabaha na vitu kama hivyo vimebaki kuwa prestige labda na kwenda kwenye mashindano na Olympics.. (yaani michezo tu) vita vya sasa vya drones, electronics na cold wars as well as vichaa ambao wapo tayari ku-apply Kamikaze technics shabaha is very rarely applicable...
 
In this day and age shabaha na vitu kama hivyo vimebaki kuwa prestige labda na kwenda kwenye mashindano na Olympics.. (yaani michezo tu) vita vya sasa vya drones, electronics na cold wars as well as vichaa ambao wapo tayari ku-apply Kamikaze technics shabaha is very rarely applicable...

Sizitaki mbichi, utakua unaishi kwenye sayari nyingine. Ikuingie kwamba adui wa leo ni tofauti sana kinyume na wale wa enzi zile, wa leo anaitwa gaidi aliyejihami, na ili kupigana naye lazima uwe na ujuzi wa ulengaji shabaha maana ni adui anayejificha ndani ya umati wa watu na kama vipi anajilipua humo humo.
 
Sizitaki mbichi, utakua unaishi kwenye sayari nyingine. Ikuingie kwamba adui wa leo ni tofauti sana kinyume na wale wa enzi zile, wa leo anaitwa gaidi aliyejihami, na ili kupigana naye lazima uwe na ujuzi wa ulengaji shabaha maana ni adui anayejificha ndani ya umati wa watu na kama vipi anajilipua humo humo.
Vita vya gaidi havishindwi kwa risasi ni ku unbrainwash the brainwashed.., one bullet towards gaidi mmoja ni kuzaliwa kwa wengine kumi..., hivi vita sio vya mabavu ni inteligensia zaidi na kuhakikisha baadhi ya watu sio marginalized
 
Vita vya gaidi havishindwi kwa risasi ni ku unbrainwash the brainwashed.., one bullet towards gaidi mmoja ni kuzaliwa kwa wengine kumi..., hivi vita sio vya mabavu ni inteligensia zaidi na kuhakikisha baadhi ya watu sio marginalized

Idara ya usalama huwa na vitengo tofauti humo ndani, ndivyo ilivyo kote, kwamba kuna vitengo vya intelijensia na pia kunavyo vya mapambano, wote hawawezi kufanya kazi ya intelijensia. Hayo mazombi yakivamia maeneo ya watu wengi kama Milimani City na kuanza kuua wasio waislamu, kuna kitengo maalum kinachoitwa kushughulika, na hiki kitengo kina wafuasi waliopitia mafunzo hayo ya ulengaji shabaha, vita vya Close Quarter Battle (CQB).

Hata kwa mataifa yaliyoendelea kama vile Marekani, kuna wakati intelijensia hushindwa na kushtukizwa, inabidi waitwe SWAT. Hao askari wenu wanashindwa shabaha na kujiliwaza kwamba sio muhimu kwenye enzi za leo, itakua uvivu tu hamna kingine.
 
Idara ya usalama huwa na vitengo tofauti humo ndani, ndivyo ilivyo kote, kwamba kuna vitengo vya intelijensia na pia kunavyo vya mapambano, wote hawawezi kufanya kazi ya intelijensia. Hayo mazombi yakivamia maeneo ya watu wengi kama Milimani City na kuanza kuua wasio waislamu, kuna kitengo maalum kinachoitwa kushughulika, na hiki kitengo kina wafuasi waliopitia mafunzo hayo ya ulengaji shabaha, vita vya Close Quarter Battle (CQB).

Hata kwa mataifa yaliyoendelea kama vile Marekani, kuna wakati intelijensia hushindwa na kushtukizwa, inabidi waitwe SWAT. Hao askari wenu wanashindwa shabaha na kujiliwaza kwamba sio muhimu kwenye enzi za leo, itakua uvivu tu hamna kingine.
Muhimu sana kwenye issue hizi za kupewa nishani na ningeshauri waende kwenye mashindano zaidi kama olympics wajipatie nishani.., ila practically kwa dunia ya sasa yenye silaha zenye scopes za hali ya juu.., hata mdau mpiga manati akipewa kulenga bulls eye is a matter of squeezing the trigger
 
Muhimu sana kwenye issue hizi za kupewa nishani na ningeshauri waende kwenye mashindano zaidi kama olympics wajipatie nishani.., ila practically kwa dunia ya sasa yenye silaha zenye scopes za hali ya juu.., hata mdau mpiga manati akipewa kulenga bulls eye is a matter of squeezing the trigger
Wewe hujui unacho sema
 
In this day and age shabaha na vitu kama hivyo vimebaki kuwa prestige labda na kwenda kwenye mashindano na Olympics.. (yaani michezo tu) vita vya sasa vya drones, electronics na cold wars as well as vichaa ambao wapo tayari ku-apply Kamikaze technics shabaha is very rarely applicable...
hata drones tuko nazo kaka..mko na ngapi?
 
Muhimu sana kwenye issue hizi za kupewa nishani na ningeshauri waende kwenye mashindano zaidi kama olympics wajipatie nishani.., ila practically kwa dunia ya sasa yenye silaha zenye scopes za hali ya juu.., hata mdau mpiga manati akipewa kulenga bulls eye is a matter of squeezing the trigger

Utakua unaishi kwenye movies sana mpaka uhalisia wa dunia kama ilivyo umekutoka.
Hii video hapa chini itakupa baadhi ya matukio ya hali halisi

 
Back
Top Bottom