Polisi wa Kuzuia Fujo wasambazwa jijini Dar: Ni kutangaza hali ya hatari?

Polisi wa Kuzuia Fujo wasambazwa jijini Dar: Ni kutangaza hali ya hatari?

bagamoyo

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2010
Posts
24,941
Reaction score
28,869
21 September 2024

Ulinzi umeimarishwa jijini Dar es Salaam huku magari ya polisi yakionekana yakizunguka kuweka ukuta wa kufikirika


View: https://m.youtube.com/watch?v=IJgCHuVI4dA

Tanzania ni nchi ya kipekee kwa kutoonekana askari polisi kuzagaa ambapo nchi zingine kama Ethiopia, Kenya n.k ni kawaida huko kuona hali hiyo kila siku huku vizuizi vya mageti ya misumari kutoboa matairi hukweka na polisi.

Katika hali isiyokuwa ya kawaida, maeneo mbalimbali ya Jiji la Dar es Salaam leo 21 September 2024 yamejaa askari wa Jeshi la Polisi, wanaozunguka huku na kule.

TOKA MAKTABA :
Ikulu
Dar es Salaam, Tanzania

1726915071597.png

20 September 2024 amiri jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama ambaye ni Rais Samia Hassan alipowaita IGP Camilius Wambura na viongozi wakuu waandamizi wa jeshi la Polisi katika Ikulu ya Dar es Salaam.
1726915110223.png


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dr. Samia S. Hassan akiwa ktk picha ya pamoja, mara baada ya Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania (IGP) Camillus Wambura pamoja na Makamishna wa Jeshi hilo kumaliza mkutano uliyo fanyika Ikulu Jijini Dar es salaam tarehe 20 Septemba, 2024.
 
21 September 2024

Ulinzi umeimarishwa jijini Dar es Salaam huku magari ya polisi yakionekana yakizunguka kuweka ukuta wa kufikirika


View: https://m.youtube.com/watch?v=IJgCHuVI4dA

Tanzania ni nchi ya kipekee kwa kutoonekana askari polisi kuzagaa ambapo nchi zingine kama Ethiopia, Kenya n.k ni kawaida huko kuona hali hiyo kila siku huku vizuizi vya mageti ya misumari kutoboa matairi hukweka na polisi.

Katika hali isiyokuwa ya kawaida, maeneo mbalimbali ya Jiji la Dar es Salaam leo 21 September 2024 yamejaa askari wa Jeshi la Polisi, wanaozunguka huku na kule.

Acha kuzua tafrani kwa umma
 
21 September 2024

Ulinzi umeimarishwa jijini Dar es Salaam huku magari ya polisi yakionekana yakizunguka kuweka ukuta wa kufikirika


View: https://m.youtube.com/watch?v=IJgCHuVI4dA

Tanzania ni nchi ya kipekee kwa kutoonekana askari polisi kuzagaa ambapo nchi zingine kama Ethiopia, Kenya n.k ni kawaida huko kuona hali hiyo kila siku huku vizuizi vya mageti ya misumari kutoboa matairi hukweka na polisi.

Katika hali isiyokuwa ya kawaida, maeneo mbalimbali ya Jiji la Dar es Salaam leo 21 September 2024 yamejaa askari wa Jeshi la Polisi, wanaozunguka huku na kule.

TOKA MAKTABA :
Ikulu
Dar es Salaam, Tanzania

View attachment 3101983
20 September 2024 amiri jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama ambaye ni Rais Samia Hassan alipowaita IGP Camilius Wambura na viongozi wakuu waandamizi wa jeshi la Polisi katika Ikulu ya Dar es Salaam.
View attachment 3101984

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dr. Samia S. Hassan akiwa ktk picha ya pamoja, mara baada ya Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania (IGP) Camillus Wambura pamoja na Makamishna wa Jeshi hilo kumaliza mkutano uliyo fanyika Ikulu Jijini Dar es salaam tarehe 20 Septemba, 2024.


Ulinzi umeimarishwa au wameshikwa na kiwewe???

Hata hivyo, Siyo kweli hata kidogo kwamba SSH au JPM ndio chanzo cha kushamiri kwa vitendo vya Utekaji na Mauaji hapa nchini kwa sababu tatizo lililopo siyo JPM wala siyo SSH, Bali tatizo ni kwamba Tanzania kuna Katiba mbaya sana pamoja na Sheria zilizopo ni mbaya sana ambazo pia ni sheria kandamizi.

Aidha, nasisitiza kwamba kutokana na kuwepo kwa janga la vitendo viovu hapa Tanzania, chanzo chake au tatizo siyo JPM wala siyo SSH. Mathalani, JPM tayari ameondoka zake, na SSH naye ipo siku lazima ataondoka, lakini vitendo viovu vya Utejaji, utesaji na Mauaji kamwe havitaondoka, na badala yake vitaendekea kuwepo kwa sababu Katiba na Sheria zinazohalalisha vitendo hivyo viovu kuwepo bado zipo na wala hazijaondolewa kutoka hapa nchini Tanzania.
 
Acha kuzua tafrani kwa umma

Ni swali nimeulizwa na mgeni toka nje ya nchi ambaye huja mara kwa mara Tanzania hususan Dar es Salaam baada ya kuona pilikapilika hizo za vyombo vya usalama akauliza kulikoni hali hii, nini kinaendelea maana siyo kawaida kwa nchi yenu mambo kuwa wazi hivi wingi wa askari jijini.

Nikamwabia hadi sasa hatujasikia tamko lolote rasmi la kutoka kwenye mamlaka ya uongozi wenye dhamana na ulinzi pia usalama. Hivyo ni ngumu kuelezea hali hii tunayoiona mitaani.
 
21 September 2024

Ulinzi umeimarishwa jijini Dar es Salaam huku magari ya polisi yakionekana yakizunguka kuweka ukuta wa kufikirika


View: https://m.youtube.com/watch?v=IJgCHuVI4dA

Tanzania ni nchi ya kipekee kwa kutoonekana askari polisi kuzagaa ambapo nchi zingine kama Ethiopia, Kenya n.k ni kawaida huko kuona hali hiyo kila siku huku vizuizi vya mageti ya misumari kutoboa matairi hukweka na polisi.

Katika hali isiyokuwa ya kawaida, maeneo mbalimbali ya Jiji la Dar es Salaam leo 21 September 2024 yamejaa askari wa Jeshi la Polisi, wanaozunguka huku na kule.

TOKA MAKTABA :
Ikulu
Dar es Salaam, Tanzania

View attachment 3101983
20 September 2024 amiri jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama ambaye ni Rais Samia Hassan alipowaita IGP Camilius Wambura na viongozi wakuu waandamizi wa jeshi la Polisi katika Ikulu ya Dar es Salaam.
View attachment 3101984

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dr. Samia S. Hassan akiwa ktk picha ya pamoja, mara baada ya Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania (IGP) Camillus Wambura pamoja na Makamishna wa Jeshi hilo kumaliza mkutano uliyo fanyika Ikulu Jijini Dar es salaam tarehe 20 Septemba, 2024.

Huyo kamanda Awadh wakati yupo Rto wa Dsm tulikoma wamiliki wa daladala miaka ya 2005 had 20010, na pia huyo jamaa askari wenzie wa chini walikuwa wanamuala, kwa siku ile lokapu ya osterbay alikuwa anawaweka ndani askari polisi hata kumi ambao wamefanya uzembe wwowote ule,


Ilifikia wakati askari walienda kwa mganga mmoja handeni ili wamroge, kufika mganga akapiga ramli kwanza kumuangalia kabla ajatupa skadi ya kumuondoa,
Bwana weeee, mganga akawaambia wale walioenda kwake ili kumroga jamaa ili alale mazima, jibu la mganga akasema huyu mtu mnaetaka kumuondoa, "mbona kwenye Ramli yangu inaonyesha alishakufaga,
"Wale jamaa wakamjibu mganga, " mganga huyo bwana awaddhi ajafa yupo hai na wenzio anatusibu huko hatuna amani, mganga akawambia huyu bwana kama yupo hai basi arogeki mtakufa nyie namimi nikithubutu.


Huyo bwana ni kiboko, wapinzani chini ya Awadhi nawaonea huruma sana, huyo bwana aling'oa plate number za gari yangu miaka ile pale bamaga,niliiba ruti, mmiliki kufutalia picha linaanza namimi mwenyewe lokapu.
 
TOKA MAKTABA:

18 September 2024
Kilimanjaro, Tanzania

RAIS SAMIA - HATUTOVUMILIA VITENDO VYA MACHAFUKO NCHINI

View: https://m.youtube.com/watch?v=A75kBI8PT2A

“Kwa hiyo R4 ni falsafa iliyokuja kuunganisha Taifa na sio inayoruhusu utovu wa nidhamu kwa baadhi ya watu.

Hivyo basi baada ya kazi nzuri hii iliyofanywa na falsafa hii ya 4R kuliunganisha Taifa letu, hatutavumilia vitendo vyovyote vya kuleta machafuko na mifarakano nchini.

Hatutavumilia. Sasa ni vizuri tusisahau. Au wale wanaojiandaa na machafuko wasisahau mapito waliyopita. Ni falsafa hii hii ya 4R ndiyo imewapa ruhusa ya kurudi hapa nchini.

Tukafumbia macho mengine yote, njooni tujenge Taifa letu. Sasa kama wameshaota mikia sasa, sheria zile zile bado zipo,” Dk. Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
 
21 September 2024

Ulinzi umeimarishwa jijini Dar es Salaam huku magari ya polisi yakionekana yakizunguka kuweka ukuta wa kufikirika


View: https://m.youtube.com/watch?v=IJgCHuVI4dA

Tanzania ni nchi ya kipekee kwa kutoonekana askari polisi kuzagaa ambapo nchi zingine kama Ethiopia, Kenya n.k ni kawaida huko kuona hali hiyo kila siku huku vizuizi vya mageti ya misumari kutoboa matairi hukweka na polisi.

Katika hali isiyokuwa ya kawaida, maeneo mbalimbali ya Jiji la Dar es Salaam leo 21 September 2024 yamejaa askari wa Jeshi la Polisi, wanaozunguka huku na kule.

TOKA MAKTABA :
Ikulu
Dar es Salaam, Tanzania

View attachment 3101983
20 September 2024 amiri jeshi mkuu wa majeshi ya ulinzi na usalama ambaye ni Rais Samia Hassan alipowaita IGP Camilius Wambura na viongozi wakuu waandamizi wa jeshi la Polisi katika Ikulu ya Dar es Salaam.
View attachment 3101984

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dr. Samia S. Hassan akiwa ktk picha ya pamoja, mara baada ya Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania (IGP) Camillus Wambura pamoja na Makamishna wa Jeshi hilo kumaliza mkutano uliyo fanyika Ikulu Jijini Dar es salaam tarehe 20 Septemba, 2024.

Imagine kinachofanya haya yote ni Kimkoloni kifupi tu kutoka Kijiji cha Kizimkazi, nchi ya Jirani😡
 
19 September 2024
Dar es Salaam, Tanzania

Amb. Micheal A. Battle Sr. - There is always a danger of Transparency, the danger is transparency exposes us, it opens up new revelations but the big thing is how we deal with revelation, ... the world is watching Tanzania and ...


View: https://m.youtube.com/watch?v=4iAf-yu5_wg

....Amb. Micheal A. Battle Sr asisitiza kuwa Marekani kama mshirika wa Tanzania pia mdau wa maendeleo, Marekani haiwezi kukaa kimya mambo yakienda ndivyo sivyo. .... iwe nchini Marekani au Tanzania ...

Amb. Micheal A. Battle Sr anaongeza kuwa kuna madhara ya kuweka mambo wazi ya yanaendelea nchini Tanzania, ila hilo huwa siyo tishio ikiwa yatakayoibuliwa na uwazi yatashughulikiwa kwa nia thabiti ya kurekebisha mabaya hayo basi kutakuwa hakuna madhara makubwa zaidi ....
 
Hivyo vitisho ni vya kijinga tu. Siku nguvu ya umma ikiamua, hakutakuwepo na 🐕‍🦺 wa kuizuia.
 
Wapenda amani tupige selfie na jeshi letu tukifurahia amani
 
Back
Top Bottom