Restless Hustler
JF-Expert Member
- Apr 9, 2017
- 5,150
- 20,025
Wema pekee wa Nilifaniwa na Polisi ni kumuachia mtu ambaye tayari amekiri kuiba TV na vitu vyangu vingine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante kwa kutowalaumu🙏Napenda tu wanavyoipambania polisi Jamii yao
Pole sana mkuu!Wema pekee wa Nilifaniwa na Polisi ni kumuachia mtu ambaye tayari amekiri kuiba TV na vitu vyangu vingine
Tangu nizaliwe sijasikia wala kuona wema wa Polisi. Hao ni wahuni wanaolindwa na SheriaPole sana mkuu!
Hiyo ilikuwa ni bahati mbaya tu. Je! Hujawahi kumsikia hata jirani yako akielezea jambo jema alilotendewa na Polisi?
Sio wote punguza jazba,Hao ni wahuni wanaolindwa na Sheria
By profession Mimi ni researcher. Kanuni ya ufanyaji research, data zikizidi 90%, tuna assume ni wote.Sio wote punguza jazba,
Mkuu hebu funguka basiMataa ya kamata pale hua kuna Bodaboda wanapaki, sasa Hawa Bodaboda anajuana na polisi wa pale. Jion kukiwa na operation kwa sababu ya uchache wa askari. Hawa Bodaboda ndo wanakamata madereva pikipiki wengine pale Mataa na kuwakabidhi kwa askari.
Nmetoka Kigamboni Nafika pale Mataa nakamatwa napelekwa kwa askari mmoja hiv ana nyota, naulizia kosa langu nilipo, nikamjibu sina kosa na pikipiki ina vibali vyote, KAGUA.
Hilo neno KAGUA ndo lilinionyesha wema wa polisi. Sku ile walinipa Sehem ya kulala pale central mpaka kesho yake saa9 mchana.
Nawashukuru kwa wema wao bila hivyo ningelala nyumban
Ha ha ha haWema pekee wa Nilifaniwa na Polisi ni kumuachia mtu ambaye tayari amekiri kuiba TV na vitu vyangu vingine
AiseeTangu nizaliwe sijasikia wala kuona wema wa Polisi. Hao ni wahuni wanaolindwa na Sheria
Lakini mkuu, unazo hizo data kuhusu Polisi??By profession Mimi ni researcher. Kanuni ya ufanyaji research, data zikizidi 90%, tuna assume ni wote.
Nani katoa lawamaLakini mkuu mbona niliomba tusiwalaumu bali tuyaseme mazuri yao tuliyowahi kuyashuhudia?
Mshepereo kwa sauti ya YISAMBI REKA NTIPOO A.K.A MWALIMU WA MATH ASIYE NA GUBU WALA ROHO YA KWANINI. MMALILA SAFI
Soma comment namba 24, 25, na 26.Nani katoa lawama
Kwa comments kama hizi, inaonekana ni watu wachache sana "wanaowapenda" Polisi.Nilikuwa nahama mkoa x kwenda mkoa y na samani zangu kwenye kikeri nilipofika katikati ya msitu polisi wakasimamisha wakakagua vielelezo vyote hamna shida ila mkaguaji akaona mguu wa furniture umetokezea juu ya chuma za kikeri ... Ila anamaliza kuuliza tu nasikia ka kak akaaaa mashine ya EFD ikitema risiti!
Ahsante polisi nyinyi mbinguni mtapasikia tu!
Unachoma nyara za serikali mkuuKaribuni nyama choma. Nje ya boxView attachment 2844885
Hivyo ndivyo nyama inavyochomwa. Siyo inakatwa katwa na kuwekwa juu ya wavu utafikiri mishikaki.Karibuni nyama choma. Nje ya boxView attachment 2844885
yaah mm ni askari huku mtaani wahuni wangu wanapnda kuniita kamanda au askari mkuuMpaka hapo umeshasema mkuu!
Wewe ni askari Polisi?
Ni mbinu gani uliitimia kiongozi 😄 kuwakwepa hawa majamaaImagine polisi anashawishi raia waibe mzigo. Tulikataa, sasa Ili tusije pigwa chuma nikatumia akili kubwa kuwapiga chenga.
Daaah.
Tanzania kwa ufupi hatuna polisi