Polisi wa Tanzania wako Vizuri kuliko wa Kenya ona Naivas Supermarket ilivyoporwa na waandamanaji mjini Naivasha katikati ya mji na hakuna polisi alitokea kuwazuia Ingekuwa Tanzania polisi wangeshatokea na kuwaonyesha Cha mtema Kuni Hao waandamanaji waporaji
View: https://youtu.be/6aVIx2qlLxg?si=PLkRmIXYD0NvBE-F
View: https://youtu.be/6aVIx2qlLxg?si=PLkRmIXYD0NvBE-F