Polisi wadaiwa kumsaka Mange Kimambi. Latolewa agizo la siri kwa vituo akionekana akamatwe!

Cha muhimu na busara sio kwa serikali kupambana na Mange, ye ni mpigi firimbi tu. Watoe hoja na takwimu kukanusha hayo anayosema Mange. Vinginevyo wananchi wataelewa anayosema mange ni kweli.
 
Japo namuona Mange kama mwanaharakati lakin bado sioni namna yeyote serikali ikimuhitaji aidha akiwa hai au vinginevyo itamkosa.
 
Mnasema Sisonje chaguo la mungu, kwangu mimi mange ndio chaguo la kweli la mungu. Mungu anamtumia kuonyesha rangi halisi kuhusu huu utawala wa awamu ya tano. Si wametufunga midomo wote hapa tanzania, mungu katufungulia wake kupitia mange.
 
Kweli hii nchi watu haina ajira watu hawana kazi kabisa kuanzia viongozi mpk raia wakawaida, maana sasa hivi nchi mzima inatingishwa na Mage na Lisu tu mpk watu watumishi wauma wako ofisi busy kuandaa nyalaka za kumkamata Mage na wengine ni vikao vikao kuhusu Lisu.
Vyombo vya usalama fanyeni kazi yenu acheni kutumika kwaajiri ya maslahi binafsi
 
Huyu mange huyu ana kesi za kujibu nyingi tu. Issue sio kukosoa serikali au kumkosoa mtu, issue ni jinsi anavyokosoa aisee anaandika matusi makubwa makubwa tena ya nguoni.

Mfano alivyomtukana huyo kamishina kwa kweli si jambo jema. Kosoa, weka uovu wa watu lakini si kumtukana mtu hapo ndipo ananikeraga. Wanae wanajifunza nini sasa kama mama anatukana kiasi kile? Najiuliza tu anaweza kweli kukemea wale watoto wasitukane?

Ila atakuja kukipata anachostahili mwisho wa siku, sometimes najiulizaga hivi huyu dada kashushwa? Hana ndugu ? Familia yake wanajisikiaje anavyotukana kiasi kile.

Kila mtu ana lengo la kuja hapa duniani na kila kitu inachofanya kina mgusa mwingine direct au indirect....hakuna kitu maisha Yangu....hiki kitu kinatucost sana. Anachofanya sasa kinaweza kuja kuwacost hata wanawe kwa namna moja au nyingine....
 
Jf yenyewe iliwatia kiwewe kuidukua sembuse huyo alie kwa Trump
 
Barua kama hiyo imetoka kwa muhusika wa idara hiyo hiyo na hiyo maana yake ni kwamba hawafurahishwi na yanayoendelea. Mange anatumika kama kipaza sauti tu lakini wanaosema ni hao hao wa idara husika.
 


Wanae bado wadogo hawajui hata kiswahili , so matusi ya kiswahili hawafahamu.

Kwahiyo mpaka hapo watakapokua wakubwa, endelea kusubiri embe chini ya mnazi

Wa
 
na kitawacost wengi hasa wanaovujisha siri na kumtumia......hasa watumishi wa serikali...mfano aliyemtumia hiyo barua ya siri....kama wewe ni mtumishi wa serikali na unahusika kuvujisha siri....jipime.... tingatinga linakaribia kufika!
 
Anamshinda mfalme kwa wivu na chuki?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…