Angalau mwenzako ataacha legacy kuliko wewe hata humu JF ni mzigounajua inawezekana ikawa sisi watz ndo tunampa kick uyu msukulee....yn tumemuekeq attention sana na ndomana anapata kichwaaa....watz tunapenda sn umbea na uyu kajua pakutukamatiaa......mm binafs namchukia sanana simpendiii....hana akili ni mtu fulani broked aliyechoka na maisha anaetafta pakutokea
USA baby [emoji631] [emoji631] [emoji385] [emoji385]USA babe!
Nakubaliana na wewe.
Kumbe huo nao ulikuwa ni uzushi tu.
Lakini tutabishaje wakati alishatuambia....
Kashfa za nini sasa kama unajua zaidi nyamaza mwache na ujinga wake.Huna lolote Kilaza wewe.
Watu kama hawa US inawaprotect sana.
That's right.Ama kweli weww nyani ngabu.....
Kuna watu ubishi ndo fani zaoMkuu usiwe msahaulifu, mwalimu msigwa serikali ilipata taarifa kupitia mitandao ya kijamii, wale madereva waliokuwa wanaendesha gari akaachia usukani amehukumiwa miaka miwili lakini Ni mitandao ya kijamii ndiyo uliyotoa taarifa sasa kwenye hili ugumu uko wapi? Tena mtu anatuma mpaka document za serikali polisi wanashindwa nini kujiridhisha?
[emoji23] [emoji23]Nani anahangaika naye?
Isije kuwa nyie rabid fanboys wake ndo mko paranoid na kudhani kuwa wanahangaika naye kumbe mnaohangaika ni nyie wenyewe.
Upo sahihi,siku ya kukamatwa atajuta!Kumkamata mange nidakika sifuri tu sema serikali haijamua kufanya hivo
Umeongea pumba sana. Sasa kama Marekani taifa namba moja kwa ubabe na uchumi duniani wameshindwa kumpata Snowden, taifa masikini la Tanganyika litaewezaje kumpata kumkamata mange aliye marekani? Halafu hii dhana ya kuogopa kufa ndiyo inafanya watu wawe mapoyoyo wa akili zao. Kwani kuna mwenye ahadi na mungu kuwa atamuweka duniani hadi akamilishe kuwalea watoto wake?Hakuna nchi inayopenda Siri zake zidukuliwe na kuchezewa hovyo brother, US yenyewe is hunting its own citizen Edward Snowden...na sasa yuko mafichoni Russia....kwenye huo ulimwengu wa intelligence lugha ni moja....huyo mama is better ashauriwe alee vitoto vyake kama anataka kuwaona wanakuwa na wanapata what they deserve....every government has secrets and have to be protected at any costs...
Yule Binti wa kwanza ni MtanzaniaHalafu mkumbuke Mange ni mzazi wa watoto watatu wote wamarekani,so akiweka na hii barua ya uhamiaji,asylum protection anaipata kiurahisi.
hivi unauhakika na marekani kumshindwa huyu dogo? vipi kama ukiambiwa huu ni mchezo tu marekani amecheza kwa kumtuma huyu dogo Snowden huko RussiaUmeongea pumba sana. Sasa kama Marekani taifa namba moja kwa ubabe na uchumi duniani wameshindwa kumpata Snowden, taifa masikini la Tanganyika litaewezaje kumpata kumkamata mange aliye marekani? Halafu hii dhana ya kuogopa kufa ndiyo inafanya watu wawe mapoyoyo wa akili zao. Kwani kuna mwenye ahadi na mungu kuwa atamuweka duniani hadi akamilishe kuwalea watoto wake?
Ni mmarekani,alizaliwa marekani.Yule Binti wa kwanza ni Mtanzania
Atajuta nini sasa?wewe kama ni mwoga ni wewe,Mange anafanya anachokifanya na anajuwa effects zake,yule ni unique hana caracter za kioga kama sisi tunaotumia fake names hapa.Upo sahihi,siku ya kukamatwa atajuta!
Tupe ushahidi hao watu waliharibiwa maisha na yeye! Tunaenda na fact.Mange kaumiza maisha ya watu wengi sana, kachonganisha mahusiano ya watu, ni mtu wa 'kwanini', ana wivu sana anapoona mwanamke mwenzie anatusua.
Ni kundi la watu aina ya 'psychopath' - yani mtu mwenye chuki sana na watu, hana huruma na yupo tayari kuona damu ya mwenzie ikimwagika ndio furaha ije usoni mwake.
Japo kwa upande mwingine anaraise issues ambazo zinatuhusu , hasa uovu wa watawala wetu, lkn katika suala la maisha ya watu binafsi anakosea sana.
Watu wengine hawanaga maneno, hawataki visasi, utawaharibia lkn karma haitakuacha ukatize salama.
Naombeni msaada hivi huyu mtu ni nani haswa why is she vry popular like this, what is so special to this person? Coz nimebaki kumsikia tu pasipo Kuelewa anafnya kazi gan na imekuwaje kwnye hii ishu ya makonda character msaidizi. Nisaidien jamnMange kaumiza maisha ya watu wengi sana, kachonganisha mahusiano ya watu, ni mtu wa 'kwanini', ana wivu sana anapoona mwanamke mwenzie anatusua.
Ni kundi la watu aina ya 'psychopath' - yani mtu mwenye chuki sana na watu, hana huruma na yupo tayari kuona damu ya mwenzie ikimwagika ndio furaha ije usoni mwake.
Japo kwa upande mwingine anaraise issues ambazo zinatuhusu , hasa uovu wa watawala wetu, lkn katika suala la maisha ya watu binafsi anakosea sana.
Watu wengine hawanaga maneno, hawataki visasi, utawaharibia lkn karma haitakuacha ukatize salama.