Polisi wadaiwa kupokea amri ya kumpeleka mahakamani Msanii Optter

Polisi wadaiwa kupokea amri ya kumpeleka mahakamani Msanii Optter

Baadhi ya Askari wanadai, kuna shinikizo kutoka kwa wavaa viatu wakitaka kujua msanii ametumwa na nani kuchora picha inayowasumbua wakubwa.
Ndio kina nani hao?
 
Jeshi la polisi limeendelea na danadana zake kukwepa kumpeleka msanii Optter Mahakamani huku likiendelea kuzuia dhamana yake.

Wakili kutoka kituo cha THRDC amepeleka hati ya kimahakama kuwataka Polisi kumpeleka mchora katuni Mahakamani.

Kwa mujibu wa sakata hili, RCO wa Kinondoni ameendelea kushikilia suala la mchora katuni huyu huku akielezea kuwa anatekeleza maagizo.

Jana afisa upelelezi wa shauri hili anadaiwa kuchukua maelezo ya mtuhumiwa na jana hiyo hiyo polisi wameenda kupekua kwenye makazi ya Optter. Inadaiwa mazingira yanaonesha kuwa Polisi wamekuwa wakimlazimisha mtuhumiwa akiri makosa wanayomtuhumu nayo au la ataozea jela

Polisi kituo cha Oysterbay wanadaiwa kuendelea kutengeneza mazingira ya kuhakikisha wanaendelea kumshikilia hapo kituoni.

Baadhi ya Askari wanadai, kuna shinikizo kutoka kwa wavaa viatu wakitaka kujua msanii ametumwa na nani kuchora picha inayowasumbua wakubwa.

Tutaendelea kuwajuza kinachojiri
"Ametumwa na nani kuchora picha inayowasumbua wakubwa"[emoji5][emoji5][emoji5][emoji5][emoji5]aisee hii nchi...

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
 
Jeshi la polisi limeendelea na danadana zake kukwepa kumpeleka msanii Optter Mahakamani huku likiendelea kuzuia dhamana yake.

Wakili kutoka kituo cha THRDC amepeleka hati ya kimahakama kuwataka Polisi kumpeleka mchora katuni Mahakamani.

Kwa mujibu wa sakata hili, RCO wa Kinondoni ameendelea kushikilia suala la mchora katuni huyu huku akielezea kuwa anatekeleza maagizo.

Jana afisa upelelezi wa shauri hili anadaiwa kuchukua maelezo ya mtuhumiwa na jana hiyo hiyo polisi wameenda kupekua kwenye makazi ya Optter. Inadaiwa mazingira yanaonesha kuwa Polisi wamekuwa wakimlazimisha mtuhumiwa akiri makosa wanayomtuhumu nayo au la ataozea jela

Polisi kituo cha Oysterbay wanadaiwa kuendelea kutengeneza mazingira ya kuhakikisha wanaendelea kumshikilia hapo kituoni.

Baadhi ya Askari wanadai, kuna shinikizo kutoka kwa wavaa viatu wakitaka kujua msanii ametumwa na nani kuchora picha inayowasumbua wakubwa.

Tutaendelea kuwajuza kinachojiri
Wekeni hiyo picha hapa jamvini

Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
 
Jeshi la polisi limeendelea na danadana zake kukwepa kumpeleka msanii Optter Mahakamani huku likiendelea kuzuia dhamana yake.

Wakili kutoka kituo cha THRDC amepeleka hati ya kimahakama kuwataka Polisi kumpeleka mchora katuni Mahakamani.

Kwa mujibu wa sakata hili, RCO wa Kinondoni ameendelea kushikilia suala la mchora katuni huyu huku akielezea kuwa anatekeleza maagizo.

Jana afisa upelelezi wa shauri hili anadaiwa kuchukua maelezo ya mtuhumiwa na jana hiyo hiyo polisi wameenda kupekua kwenye makazi ya Optter. Inadaiwa mazingira yanaonesha kuwa Polisi wamekuwa wakimlazimisha mtuhumiwa akiri makosa wanayomtuhumu nayo au la ataozea jela

Polisi kituo cha Oysterbay wanadaiwa kuendelea kutengeneza mazingira ya kuhakikisha wanaendelea kumshikilia hapo kituoni.

Baadhi ya Askari wanadai, kuna shinikizo kutoka kwa wavaa viatu wakitaka kujua msanii ametumwa na nani kuchora picha inayowasumbua wakubwa.

Tutaendelea kuwajuza kinachojiri
Siro anatafuta ubalozi maana jua limechwea
 
Nchi isiyofuata misingi ya Katiba na Sheria ni nchi ya hovyo tu kama ilivyo Kosova, tariban ama somalia.

Ilikiwa kosa kubwa kwa Mwalimu kutuachia katiba ya mwaka 1977 kwa kweli.

Kwa mfano Leo ntamshanga sana maza kama hataongoza taifa hili hadi 2035, maana katiba inampa mamlaka yote kwa 100%.

Yàni ni hivi ukishaapishwa tu kwa katiba hii you can do all you want..labda roho wa Mungu akutembelee .
 
Jeshi la polisi limeendelea na danadana zake kukwepa kumpeleka msanii Optter Mahakamani huku likiendelea kuzuia dhamana yake.

Wakili kutoka kituo cha THRDC amepeleka hati ya kimahakama kuwataka Polisi kumpeleka mchora katuni Mahakamani.

Kwa mujibu wa sakata hili, RCO wa Kinondoni ameendelea kushikilia suala la mchora katuni huyu huku akielezea kuwa anatekeleza maagizo.

Jana afisa upelelezi wa shauri hili anadaiwa kuchukua maelezo ya mtuhumiwa na jana hiyo hiyo polisi wameenda kupekua kwenye makazi ya Optter. Inadaiwa mazingira yanaonesha kuwa Polisi wamekuwa wakimlazimisha mtuhumiwa akiri makosa wanayomtuhumu nayo au la ataozea jela

Polisi kituo cha Oysterbay wanadaiwa kuendelea kutengeneza mazingira ya kuhakikisha wanaendelea kumshikilia hapo kituoni.

Baadhi ya Askari wanadai, kuna shinikizo kutoka kwa wavaa viatu wakitaka kujua msanii ametumwa na nani kuchora picha inayowasumbua wakubwa.

Tutaendelea kuwajuza kinachojiri
Picha gani??
 
Huyu jamaa akiwa mtaani atupe akaunt yake tumwingizie kidogo Mana ile katuni simchezo
 
Bila kuweka hiyo picha hapa basi na mimi siendelei kuchangia
Hii hapa
Screenshot_20211002-193728_Twitter.jpg
 
Back
Top Bottom