Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 33,092
- 96,127
Labda kwa huko mjini. Ila huku kijijini niliko, Mgambo ndiyo askari wetu. Na tunawatii kweli kweli na vile virungu vyao.Hatuna mgambo siku hizi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda kwa huko mjini. Ila huku kijijini niliko, Mgambo ndiyo askari wetu. Na tunawatii kweli kweli na vile virungu vyao.Hatuna mgambo siku hizi.
Toa kifungu cha kisheria kinachoruhusu huo msoto
Ndio kina nani hao?Baadhi ya Askari wanadai, kuna shinikizo kutoka kwa wavaa viatu wakitaka kujua msanii ametumwa na nani kuchora picha inayowasumbua wakubwa.
"Ametumwa na nani kuchora picha inayowasumbua wakubwa"[emoji5][emoji5][emoji5][emoji5][emoji5]aisee hii nchi...Jeshi la polisi limeendelea na danadana zake kukwepa kumpeleka msanii Optter Mahakamani huku likiendelea kuzuia dhamana yake.
Wakili kutoka kituo cha THRDC amepeleka hati ya kimahakama kuwataka Polisi kumpeleka mchora katuni Mahakamani.
Kwa mujibu wa sakata hili, RCO wa Kinondoni ameendelea kushikilia suala la mchora katuni huyu huku akielezea kuwa anatekeleza maagizo.
Jana afisa upelelezi wa shauri hili anadaiwa kuchukua maelezo ya mtuhumiwa na jana hiyo hiyo polisi wameenda kupekua kwenye makazi ya Optter. Inadaiwa mazingira yanaonesha kuwa Polisi wamekuwa wakimlazimisha mtuhumiwa akiri makosa wanayomtuhumu nayo au la ataozea jela
Polisi kituo cha Oysterbay wanadaiwa kuendelea kutengeneza mazingira ya kuhakikisha wanaendelea kumshikilia hapo kituoni.
Baadhi ya Askari wanadai, kuna shinikizo kutoka kwa wavaa viatu wakitaka kujua msanii ametumwa na nani kuchora picha inayowasumbua wakubwa.
Tutaendelea kuwajuza kinachojiri
Tatizo unaingia na ID feki ndugu polisi
Wekeni hiyo picha hapa jamviniJeshi la polisi limeendelea na danadana zake kukwepa kumpeleka msanii Optter Mahakamani huku likiendelea kuzuia dhamana yake.
Wakili kutoka kituo cha THRDC amepeleka hati ya kimahakama kuwataka Polisi kumpeleka mchora katuni Mahakamani.
Kwa mujibu wa sakata hili, RCO wa Kinondoni ameendelea kushikilia suala la mchora katuni huyu huku akielezea kuwa anatekeleza maagizo.
Jana afisa upelelezi wa shauri hili anadaiwa kuchukua maelezo ya mtuhumiwa na jana hiyo hiyo polisi wameenda kupekua kwenye makazi ya Optter. Inadaiwa mazingira yanaonesha kuwa Polisi wamekuwa wakimlazimisha mtuhumiwa akiri makosa wanayomtuhumu nayo au la ataozea jela
Polisi kituo cha Oysterbay wanadaiwa kuendelea kutengeneza mazingira ya kuhakikisha wanaendelea kumshikilia hapo kituoni.
Baadhi ya Askari wanadai, kuna shinikizo kutoka kwa wavaa viatu wakitaka kujua msanii ametumwa na nani kuchora picha inayowasumbua wakubwa.
Tutaendelea kuwajuza kinachojiri
Siro anatafuta ubalozi maana jua limechweaJeshi la polisi limeendelea na danadana zake kukwepa kumpeleka msanii Optter Mahakamani huku likiendelea kuzuia dhamana yake.
Wakili kutoka kituo cha THRDC amepeleka hati ya kimahakama kuwataka Polisi kumpeleka mchora katuni Mahakamani.
Kwa mujibu wa sakata hili, RCO wa Kinondoni ameendelea kushikilia suala la mchora katuni huyu huku akielezea kuwa anatekeleza maagizo.
Jana afisa upelelezi wa shauri hili anadaiwa kuchukua maelezo ya mtuhumiwa na jana hiyo hiyo polisi wameenda kupekua kwenye makazi ya Optter. Inadaiwa mazingira yanaonesha kuwa Polisi wamekuwa wakimlazimisha mtuhumiwa akiri makosa wanayomtuhumu nayo au la ataozea jela
Polisi kituo cha Oysterbay wanadaiwa kuendelea kutengeneza mazingira ya kuhakikisha wanaendelea kumshikilia hapo kituoni.
Baadhi ya Askari wanadai, kuna shinikizo kutoka kwa wavaa viatu wakitaka kujua msanii ametumwa na nani kuchora picha inayowasumbua wakubwa.
Tutaendelea kuwajuza kinachojiri
Ndio maana tunataka vijana wenye div 4 ya point 28.Polisi wanahitaji reforms kubwa
Picha gani??Jeshi la polisi limeendelea na danadana zake kukwepa kumpeleka msanii Optter Mahakamani huku likiendelea kuzuia dhamana yake.
Wakili kutoka kituo cha THRDC amepeleka hati ya kimahakama kuwataka Polisi kumpeleka mchora katuni Mahakamani.
Kwa mujibu wa sakata hili, RCO wa Kinondoni ameendelea kushikilia suala la mchora katuni huyu huku akielezea kuwa anatekeleza maagizo.
Jana afisa upelelezi wa shauri hili anadaiwa kuchukua maelezo ya mtuhumiwa na jana hiyo hiyo polisi wameenda kupekua kwenye makazi ya Optter. Inadaiwa mazingira yanaonesha kuwa Polisi wamekuwa wakimlazimisha mtuhumiwa akiri makosa wanayomtuhumu nayo au la ataozea jela
Polisi kituo cha Oysterbay wanadaiwa kuendelea kutengeneza mazingira ya kuhakikisha wanaendelea kumshikilia hapo kituoni.
Baadhi ya Askari wanadai, kuna shinikizo kutoka kwa wavaa viatu wakitaka kujua msanii ametumwa na nani kuchora picha inayowasumbua wakubwa.
Tutaendelea kuwajuza kinachojiri
Hata mahakama pia imevurugwa.Hili jeshi limevurugwa sana na ccm kiasi cha kukatisha tamaa.