Polisi wadaiwa kuua raia kwa risasi Ngara

Acha uchama mpuuzi wewe. Saa nyingine akili iwe inakurudi. Unaambiwa marehemu aliwatishia askari hao na shoka wewe ulitaka askari wafanyeje? Au wao ndiyo wenye haki ya kuuawa? Akili kisoda mjinga wewe.
usimtukane mjibu kwa hoja.
polisi sita na mtu mmoja mwenye shoka. vipi angekua na silaha ya moto.

polisi wetu hawana weledi, lazima tulikubali hilo. kulikua na ulazima gani wa kumuua
 
usimtukane mjibu kwa hoja.
polisi sita na mtu mmoja mwenye shoka. vipi angekua na silaha ya moto.

polisi wetu hawana weledi, lazima tulikubali hilo. kulikua na ulazima gani wa kumuua
[emoji44][emoji44][emoji44][emoji44]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…