olele JF-Expert Member Joined Dec 2, 2010 Posts 1,305 Reaction score 1,572 Mar 30, 2022 #21 wababayangu said: Acha uchama mpuuzi wewe. Saa nyingine akili iwe inakurudi. Unaambiwa marehemu aliwatishia askari hao na shoka wewe ulitaka askari wafanyeje? Au wao ndiyo wenye haki ya kuuawa? Akili kisoda mjinga wewe. Click to expand... usimtukane mjibu kwa hoja. polisi sita na mtu mmoja mwenye shoka. vipi angekua na silaha ya moto. polisi wetu hawana weledi, lazima tulikubali hilo. kulikua na ulazima gani wa kumuua
wababayangu said: Acha uchama mpuuzi wewe. Saa nyingine akili iwe inakurudi. Unaambiwa marehemu aliwatishia askari hao na shoka wewe ulitaka askari wafanyeje? Au wao ndiyo wenye haki ya kuuawa? Akili kisoda mjinga wewe. Click to expand... usimtukane mjibu kwa hoja. polisi sita na mtu mmoja mwenye shoka. vipi angekua na silaha ya moto. polisi wetu hawana weledi, lazima tulikubali hilo. kulikua na ulazima gani wa kumuua
M MOREMI2006 JF-Expert Member Joined Sep 10, 2021 Posts 551 Reaction score 548 Mar 30, 2022 #22 olele said: usimtukane mjibu kwa hoja. polisi sita na mtu mmoja mwenye shoka. vipi angekua na silaha ya moto. polisi wetu hawana weledi, lazima tulikubali hilo. kulikua na ulazima gani wa kumuua Click to expand... [emoji44][emoji44][emoji44][emoji44]
olele said: usimtukane mjibu kwa hoja. polisi sita na mtu mmoja mwenye shoka. vipi angekua na silaha ya moto. polisi wetu hawana weledi, lazima tulikubali hilo. kulikua na ulazima gani wa kumuua Click to expand... [emoji44][emoji44][emoji44][emoji44]