Polisi wafafanua tukio la Wakili Lusako Alphonce kukikimbizwa na Polisi katika Ofisi za "Reachout Tanzania"

Hivi hamba utaratibu ambao sisi wananchi tunaweza kufuata na kulivunja jeshi la polisi?

Nakumbuka kama nitakuwa sahihi Yoweri Museveni Rais wa Ugabda aliwahi kulivunjilia mbali jeshi la polisi nchini uganda na kuliunda upya.
Wakati polisi hawapo, Museveni alimwaga jeshi kuchukua majukumu ya polisi.

Nashauri hili lifanyike.
 
Kama aliyekuwa anatafutwa Si Alphonce Lusako kwanini mmeondoka na gari lake?
 
Magufuli alisema watanzania wa leo siyo wapumbavu kama wale wa zamani
Wamjibu kwanza huyu member👇
 
Huyu Lusako atakuwa anamatatizo ya akili siyo mara yake ya kwanza kuleta taharuki.
CHAWA kama CHAWA umesema
Malaya wa kisiasa kama Malaya
CCM kama CCM kwenye ubora wako.

Akili zenyewe zimejaa laana huwezi kuelewa .

Unatumia Mkundu kufikiria.
 
Reactions: UCD
Hapa ndipo nawahurumia polisi maana itafika mahali wakiingia hata baa kwa nia njema watu wanaweza wakatoka nduki.Kwa hofu ambayo imeshajengwa kwenye jamii.Hebu washauri wa nchi hii washauri watu kabla mambo hayajaharibika zaidi.
Na iwe hivyo.
 
Msemaji wa Jeshi la Polis....amekuwa akijibu majibu mepesi, kwenye maswali magumu!

Amekuwa akijibu , utekaji na mauaji ya raia , kisiasa ,bila kujali uhai wa watanganyika

IGP naye Kawa chura kiziwi.
 
Polis bongo siowakuamini kabisa, kwa taarifa hii ya misime, jamaa kafanya la maana sana kusepa, tusingekuwa tunajadili haya muda huu.
 
Jeshi la police halifai na haliaminiki tena ili kuboreshwa livunjwe lishaasi kujiingiza kwenye masuala ya siasa limefeli sana hakuna anaelimani tena usalama wa raia na Mali zao wala sio ilivyo ni utekaji wa raia kwani hawawezi kukamata mtuhumiwa bika kuteka hii mbinu ovyo sana jeshi la police livunjwe liundwe upya jeshini waajiriwe watu wa fani au taaluma mbalimbali sio hawa warefu weusi wenye uwezo wa kukimbia kichwani hakuna kitu
 
https://www.facebook.com/
View: https://www.facebook.com/share/v/hisNC1Uy7vh5HikE/?mibextid=Mk4v2M
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…