Ziroseventytwo
JF-Expert Member
- Mar 27, 2011
- 8,581
- 15,618
Hivi hamba utaratibu ambao sisi wananchi tunaweza kufuata na kulivunja jeshi la polisi?
Nakumbuka kama nitakuwa sahihi Yoweri Museveni Rais wa Ugabda aliwahi kulivunjilia mbali jeshi la polisi nchini uganda na kuliunda upya.
Wakati polisi hawapo, Museveni alimwaga jeshi kuchukua majukumu ya polisi.
Nashauri hili lifanyike.
Nakumbuka kama nitakuwa sahihi Yoweri Museveni Rais wa Ugabda aliwahi kulivunjilia mbali jeshi la polisi nchini uganda na kuliunda upya.
Wakati polisi hawapo, Museveni alimwaga jeshi kuchukua majukumu ya polisi.
Nashauri hili lifanyike.