Polisi wafanya doria Mtwara, wasema ipo salama!

Polisi wafanya doria Mtwara, wasema ipo salama!

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Leo Tarehe 22 Septemba 2024, Askari Polisi wa Mkoa wa Mtwara walifanya doria katika maeneo mbalimbali ya Mkoa huo ili kuimarisha usalama na kuhakikisha raia wanaendelea kuishi kwa amani.
1726999284362.png
Picha hiyo imechapishwa katika mtandao wa X (zamani Twitter) wa Jeshi la Polisi Tanzania [@tanpol ] wakiambatisha na ujumbe uliosema "Mtwara ni salama"

====
Doria hiyo pia imefanyika Simiyu kama ambavyo unaona kupitia picha hizi zilizochapishwa katika mtandao wa X wa Jeshi la Polisi Tanzania.
1727003126912.png

1727003159000.png

1727003209999.png
Jeshi la Polisi Mkoa wa Simiyu Septemba 22, 2024 limefanya doria katika mitaa mbalimbali ya Mji wa Bariadi Mkoani humo kwa lengo la kuimarisha usalama wa raia na mali zao. "Simiyuni Salama"
 
Leo Tarehe 22 Septemba 2024, Askari Polisi wa Mkoa wa Mtwara walifanya doria katika maeneo mbalimbali ya Mkoa huo ili kuimarisha usalama na kuhakikisha raia wanaendelea kuishi kwa amani.
Picha hiyo imechapishwa katika mtandao wa X (zamani Twitter) wa Jeshi la Polisi Tanzania [@tanpol ] wakiambatisha na ujumbe uliosema "Mtwara ni salama"
Waambie wasogee mpakani......waone watemi upande wa pili...
..
 
Back
Top Bottom