Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Halafu uhalali wa hii serikali uko wapi?
Kule burundi sio kuzuriTuna dikteta Ikulu akiendelea kushupaza shingo bila kutoa uhuru na haki kwa Watanzania wote basi ataleta balaa kubwa sana nchini.
Tulieni mnyolewe
π€£π€£π€£π€£ππππSasa ndio kumekucha rasmi, muda wowote wananchi watakichafua.
Wanakichafua wapi?Sasa ndio kumekucha rasmi, muda wowote wananchi watakichafua.
Yule Mungu wenu saa hizi yuko wapi?Asachiwe tu, ana madawa ya kulevya labda
Machame labdaWanakichafua wapi?
Kaenda peponi kwa malaika.Yule Mungu wenu saa hizi yuko wapi?
Basi hata Shetani tutamkuta Mbinguni.Kaenda peponi kwa malaika.