Polisi wafika nyumbani kwa Mbowe kwa upekuzi

Polisi wafika nyumbani kwa Mbowe kwa upekuzi

Pale muhimbili kuna maabara ina vinasaba vya hii kitu ya upumuaji, ashikishwe atoke nao
 
Mbowe ndio ataamini kama amepoteza majembe

Halima Mdee, Estet Bulaya, Ester Matiko na Makamanda wengine wa Bawacha

Kama waliweza kuvamia Segerea wanashindwaje hapo polisi central Mwanza

Lakini Bavicha wamekimbilia humu kuja kutoa mapovu

Wale wadada watakumbukwa sana kipindi kama hichi huwa hawajui kuvumilia kama hawa Bavicha wa sasa hivi waoga kama nini?
 
Mnajihami ee ili akikutwa navyo mdai kabambikizwa. Mbowe ni mafia na anataka rudisha mateja mitaani, adhibitiwe hamna cha kuonewa, mnajaribu kujihami ila mnajua afanyacho kamanda wenu.
Kwa nini mlimsubiri hadi awe kwenye issue ya kongamano,acheni visingizio vya upumbavu,hii nchi unaenda kupitia hali ngumu ya kiuchumi kuliko wakati wa mwendazake.

Vikwazo vya kiuchumi vitatuhusu soon,endeleeni kutesa raia ndio mtajua kwa nini watu wanaingiaga msituni
 
Mnajihami ee ili akikutwa navyo mdai kabambikizwa. Mbowe ni mafia na anataka rudisha mateja mitaani, adhibitiwe hamna cha kuonewa, mnajaribu kujihami ila mnajua afanyacho kamanda wenu.
halafu kesho tunashangaa kwann kenya inatuzidi kila sekta kwny biashara na uchumi, huku sisi ni kukimbizana na wapinzani ambao wanatishia madaraka tu ya kundi fulani la jamii, na wapinzani hao wapo kikatiba.

kama hatutaki wapinzani, tubadili tu katiba tuwe chama kimoja, tuachane na siasa
 
Toka Mbowe aanze kumkashifu maiti ya hayati niliona hana utu na yeye acha avune fungu lake hakuna kumuonea utu, wafanye naye lolote tu asee.
 
Back
Top Bottom