Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Mzena ....Hawaogopi ufundi wa Mungu hawa! atamchomoa mmoja anayewatuma kabla uharibifu haujazidi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzena ....Hawaogopi ufundi wa Mungu hawa! atamchomoa mmoja anayewatuma kabla uharibifu haujazidi.
Siku zote MUNGU ni fundi....haihitajiki tujue ufundi wake baada ya UJINGA WA CHADEMA....Hawaogopi ufundi wa Mungu hawa! atamchomoa mmoja anayewatuma kabla uharibifu haujazidi.
CHADEMA mnahubiri "hisia"za dini ama SIASA?!!Mzena ....
Ndio maana unawatoto wa kichina wengine miguu ya spoke bashite wa headSasa hivi anayahifadhi home ktk chumba cha high security
Mbona fundi aliyejidai anazika chladema kalala chini ya kilo 200 za mchanga Samia kesha isha hatatawalal kwa raha kama ilivyokuwa kwa magufuli atakunywa damu za watu lakini mwishowake itakuwa mfupiSiku zote MUNGU ni fundi....haihitajiki tujue ufundi wake baada ya UJINGA WA CHADEMA....
Chadema watafute njia nyingine ya kukitangaza chama chao kupitia sera nzuri, na ilani yenye matumaini ya kweli kwa watanzania. Hii style ya kupimishana ubavu na serikali na baadae wao ndio wanaokimbilia mitandaoni kulalamika haitowasaidia kitu kama ilivyoshindwa kuwasaidia miaka zaidi ya mi5 iliyopita. Hakuna chama makini kinachovuna wanachama wapya kwa kupitia malalamiko na kelele za mitandaoni, watanzania wa sasa wako makini sana hawapumbazwi na malalamiko yasiokuwa na msingi, wao wanataka kuona maendeleo ya kweli kupitia vyama vya siasa, bunge na serikali.View attachment 1862780
HII MIPANGO IPO MDA SANA NA WANAMTAFUTA KILA ANGLE KWA SASA ILI WAMTIE NGUVUNI WADHOOFISHE WAFUASI WAKE. BE WARNED CC MNACHOFANYA HAKINA MASHIKO
Achukie ajinyonge na asiwakere tu tena.Wanambambikia kesi ili iweje
Matusi kawaida yenu....Yezebeli huyu
Ajiandae na kufa piaMatusi kawaida yenu....
Mlimtukana sana Hayati JPM...
Mh.Rais SSH amejiandaa nayo....
Aendelee tu kuushughulikia UJINGA WENU.....
Hiki chama hivi hakina mawazo mapya ya kukifanya chama mbadala? Yaaani upeo wake umegota kabisa, hawana jipya la kuwafanya watz wakipe hadhi! Mbowe na genge lake wajitumbue wenyewe ili kukinusuru chama! Hii mimtu haina jipya! Jifunzenu kwa CCM, kinabadirika kila wakati kwa kujitathmini, kujirekebisha na hata kujivua magamba!Chadema watafute njia nyingine ya kukitangaza chama chao kupitia sera nzuri, na ilani yenye matumaini ya kweli kwa watanzania. Hii style ya kupimishana ubavu na serikali na baadae wao ndio wanaokimbilia mitandaoni kulalamika haitowasaidia kitu kama ilivyoshindwa kuwasaidia miaka zaidi ya mi5 iliyopita. Hakuna chama makini kinachovuna wanachama wapya kwa kupitia malalamiko na kelele za mitandaoni, watanzania wa sasa wako makini sana hawapumbazwi na malalamiko yasiokuwa na msingi, wao wanataka kuona maendeleo ya kweli kupitia vyama vya siasa, bunge na serikali.
Kufa si adhabu....Ajiandae na kufa pia
Alishindwaje. Usiwe mchochezi, kijana amefanywa kitu mbaya na katoka kwa huruma za mzazi.Alishindwa dikiteta magufuli kwa mdude, Mama ataweza kwa Mbowe? Time will tell.
Utasubiri sanaNa baada ya kumbambika wampeleke gereza la kisongo na apangiwe chumba kimoja na Sabaya
Jina lako linatambulisha ujinga wakokwani lini aliacha hiyo tabia?