Polisi wafika nyumbani kwa Mbowe kwa upekuzi

Polisi wafika nyumbani kwa Mbowe kwa upekuzi

Kwani kesi za kubambikiwa si ziliondoka na mwendazake na mama alishasema hataki tens.
 
Kufa si adhabu....

Wewe utakufa....
Mimi nitakufa....

Wazazi wako watakufa.....

Rais haigopi kufa katika KULINDA AMANI ,UTULIVU NA USALAMA WA NCHI.....

Aendelee tu kuushughulikia UJINGA WENU ....
Hujitambui ndugu , samahan kwa maneno hayo . Ila kaachini utafakari
 
Hujitambui ndugu , samahan kwa maneno hayo . Ila kaachini utafakari
Sawa....

Nimeshatafakari kuwa UNATAKA NIJITAMBUE kutokana na VIGEZO VYAKO ,anyway mh.Rais aendelee kulilinda TAIFA lisiingie katika CHOKOCHOKO ZA "VITENDO" kwa kuushughulikia UJINGA WA CHADEMA ... aendelee tu....aendelee tu.....
 
Chief umenikumbusha mzee wangu aliacha laana kwa mtoto wake yeyote atakayehitaji kuwa polisi,mzee alisema ni bora ufe masikini kuliko uwe polisi
Mzee wako anataka tuishi maisha ya PORINI?!!

Unawatizama POLISI kwa mabaya tu...je umewatizama kwa MAZURI ?!!!

Unataka tutafute jina jengine mbali ya "POLISI" kuwaita WATAKAOIFANYA KAZI YAO?!!!
 
Sawa....

Nimeshatafakari kuwa UNATAKA NIJITAMBUE kutokana na VIGEZO VYAKO ,anyway mh.Rais aendelee kulilinda TAIFA lisiingie katika CHOKOCHOKO ZA "VITENDO" kwa kuushughulikia UJINGA WA CHADEMA ... aendelee tu....aendelee tu.....
Huo sio ujinga Kudai katiba ni ujinga? Kutetea haki ni ujinga? Mbowe anatetea familia yake kwani? Au anatetea ndugu zake?

Mbowe anatetea Katiba ya wananchi wote wa Tanzania bila kujali jinsia , kabila wala umri elewa hilo.

Je raisi kikwete alikuwa mjinga kuanzisha mchakato wa katiba mpya?

Samia suluhu alikuwa mjumbe wa mchakato huo alikuwa mjinga?

Katiba ni yetu sote kwa maendeleo ya wananchi wa Tanzania
 
Hiki chama hivi hakina mawazo mapya ya kukifanya chama mbadala? Yaaani upeo wake umegota kabisa, hawana jipya la kuwafanya watz wakipe hadhi! Mbowe na genge lake wajitumbue wenyewe ili kukinusuru chama! Hii mimtu haina jipya! Jifunzenu kwa CCM, kinabadirika kila wakati kwa kujitathmini, kujirekebisha na hata kujivua magamba!
CCM oyeeeh!
Mbowe yuko pale kwa sababu ya mfuko wake. Vijana wengi humu mtandaoni wanakwenda msalani sababu ya mfuko wake, inamaana Mbowe akitoka katika uenyekiti hawatokuwa na mahala pengine pakula, ndio maana hata anapoharibu wanampigania kwa nguvu zote ili aendelee kubaki kitini na wao waendelee kupata chochote kutoka mfukoni.
 
Mbona fundi aliyejidai anazika chladema kalala chini ya kilo 200 za mchanga Samia kesha isha hatatawalal kwa raha kama ilivyokuwa kwa magufuli atakunywa damu za watu lakini mwishowake itakuwa mfupi
Mungu hakai MIFUKONI mwenu...

Hivi lini mtaacha tabia zenu za DELUSION na ILLUSION ?!!!

Punda afe mziko UFIKE....

Mh.SSH ameapa KUUFIKISHA MZIGO HUO wa kuilinda katiba kwa ajili ya usalama ,amani na UTULIVU wa nchi.....

Abiy Ahmed HAJAKUFA kwa KUWASHUGHULIKIA wakorofi wa TIGRAY....

#KaziIendelee
 
Mbowe yuko pale kwa sababu ya mfuko wake. Vijana wengi humu mtandaoni wanakwenda msalani sababu ya mfuko wa Mbowe, inamaana Mbowe akitoka hawatokuwa na pakula ndio maana hata anapoharibu wanampigania kwa nguvu zote ili aendelee kubaki kitini na wao waendelee kupata chochote kutoka mfukoni.
Sio kweli, huo ni mtazamo wako binafsi
 
Mbowe yuko pale kwa sababu ya mfuko wake. Vijana wengi humu mtandaoni wanakwenda msalani sababu ya mfuko wake, inamaana Mbowe akitoka katika uenyekiti hawatokuwa na mahala pengine pakula, ndio maana hata anapoharibu wanampigania kwa nguvu zote ili aendelee kubaki kitini na wao waendelee kupata chochote kutoka mfukoni.
Naona walikutoa UBONGO wote hawakukuachia hata kidogo
20210716_160047.jpg


Sent from my SM-J600F using JamiiForums mobile app
 
Huo sio ujinga Kudai katiba ni ujinga? Kutetea haki ni ujinga? Mbowe anatetea familia yake kwani? Au anatetea ndugu zake?

Mbowe anatetea Katiba ya wananchi wote wa Tanzania bila kujali jinsia , kabila wala umri elewa hilo.

Je raisi kikwete alikuwa mjinga kuanzisha mchakato wa katiba mpya?

Samia suluhu alikuwa mjumbe wa mchakato huo alikuwa mjinga?

Katiba ni yetu sote kwa maendeleo ya wananchi wa Tanzania
Mbowe anatetea MASLAHI yake na familia yake.....

Unaisemea familia ya Mbowe ambayo ina vitega uchumi ULAYA ,MAREKANI NA DUBAI?!!!

Hivi unawajua watoto wa MBOWE?!!!

Lini uliwaona WAKIFANYA SHUGHULI afanyazo "sakala" Mdude Nyagali kufikia KUKAMATWA NA KUTIWA MAHABUSU?!!!

Endeleeni UPOPOMA wa kuyapigania maslahi KIKUNDI.....
 
Mungu hakai MIFUKONI mwenu...

Hivi lini mtaacha tabia zenu za DELUSION na ILLUSION ?!!!

Punda afe mziko UFIKE....

Mh.SSH ameapa KUUFIKISHA MZIGO HUO wa kuilinda katiba kwa ajili ya usalama ,amani na UTULIVU wa nchi.....

Abiy Ahmed HAJAKUFA kwa KUWASHUGHULIKIA wakorofi wa TIGRAY....

#KaziIendelee
Nakwambia Mungu ataku suprise hutaamini masikio na macho yako. Haki itasimama siku zote.

Kulinda katiba ni pamoja na kuirekebisha panapo bidi kurekebishwa
 
Hiki chama hivi hakina mawazo mapya ya kukifanya chama mbadala? Yaaani upeo wake umegota kabisa, hawana jipya la kuwafanya watz wakipe hadhi! Mbowe na genge lake wajitumbue wenyewe ili kukinusuru chama! Hii mimtu haina jipya! Jifunzenu kwa CCM, kinabadirika kila wakati kwa kujitathmini, kujirekebisha na hata kujivua magamba!
CCM oyeeeh!
CCM inaungwa mkono na watu wajinga (TWAWEZA).
 
Hiki chama hivi hakina mawazo mapya ya kukifanya chama mbadala? Yaaani upeo wake umegota kabisa, hawana jipya la kuwafanya watz wakipe hadhi! Mbowe na genge lake wajitumbue wenyewe ili kukinusuru chama! Hii mimtu haina jipya! Jifunzenu kwa CCM, kinabadirika kila wakati kwa kujitathmini, kujirekebisha na hata kujivua magamba!
CCM oyeeeh!
Mawazo mapya huambatana na uongozi mpya Vyama vya Siasa vingi Tanzania vinahitaji Reform ya mifumo ya kiuongozi ikiwemo na Chadema.
 
Mbowe anatetea MASLAHI yake na familia yake.....

Unaisemea familia ya Mbowe ambayo ina vitega uchumi ULAYA ,MAREKANI NA DUBAI?!!!

Hivi unawajua watoto wa MBOWE?!!!

Lini uliwaona WAKIFANYA SHUGHULI afanyazo "sakala" Mdude Nyagali kufikia KUKAMATWA NA KUTIWA MAHABUSU?!!!

Endeleeni UPOPOMA wa kuyapigania maslahi KIKUNDI.....
Hujui unacho kiongea ndugu, kuhusu katiba ya nchi na familia ya Mbowe vina uhusiano gani?

Halafu huwezi kunifundisha kuhusu mbowe kwasababu mbowe wewe ndio humjui sio mimi .

Mali zake na chama havihusiani kabisa Katiba ni yawanachi wote sio yake.
 
Back
Top Bottom