Polisi wafika nyumbani kwa Mbowe kwa upekuzi

Polisi wafika nyumbani kwa Mbowe kwa upekuzi

Polisiccm sasa wanahamia kwenye master bedroom nyumbani kwa Mbowe kuendelea na upekuzi. Huko walikomaliza wamechakua chakua na kutupa vitu hovyo hovyo kila sehemu.
 
Hii ndio Taarifa ya sasa tuliyopenyezewa na watu wazalendo kutoka ndani ya jeshi Polisi Tanzania .

Lakini tunaendelea kusisitiza kwamba Hakuna mahali popote katika dunia hii ambapo Shetani aliwahi kumshinda Mungu

View attachment 1862707

View attachment 1862761
Shetani ni wale wote wanaoleta CHOKOCHOKO......

Polisi si WAJINGA kiasi hicho....

Hivi lini CHADEMA wataacha propaganda feki za kulichafua Jeshi la polisi?
 
Mama na hao viongozi wamejisahau kama na wao ni binadamu ,jamani duniani tunapita tuu angalieni mnaacha alama gani!
Acha kutia huruma za kitoto....

Kwa hiyo Kama duniani TUNAPITA ndio UJINGA uachwe utamalaki?!!!!
 
Polisiccm sasa wanahamia kwenye master bedroom nyumbani kwa Mbowe kuendelea na upekuzi. Huko walikomaliza wamechakua chakua na kutupa vitu hovyo hovyo kila sehemu.
Propaganda feki....

Ufeki wa CHOKOCHOKO za kipropaganda......

Watanzania si wajinga kununua UZUSHI KOKO wenu.....
 
Taasisi inayofadhili HARAKATI ZA SIRI ZA CHADEMA sasa "inajulikana"......

Lengo ni kuitia nchi katika HAMANIKO NA VURUGU...
 
I hope hawajamkuta na mabomu ya kuvaa mwilini yale wanayovaa waarab na kujilipua.
 
Mdude aliwekewa madawa na polisi je waliyomfanyanyia mdude hawawezi kumfanyia mbowe?
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Ogopa mwanamke mwenye madaraka makubwa sana harafu anajihisi labda hapewi recognision anayostahili. Haya ndio matokeo yake
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Hii ndio Taarifa ya sasa tuliyopenyezewa na watu wazalendo kutoka ndani ya jeshi Polisi Tanzania .

Lakini tunaendelea kusisitiza kwamba Hakuna mahali popote katika dunia hii ambapo Shetani aliwahi kumshinda Mungu

View attachment 1862707

View attachment 1862761
Naona mwenyekiti anachezeshwa mdundiko hatari sana. Kuna watu walimisi hizi amsha amsha. Kwa kifupi watoto wa mjini wanasema KIMENUKA!!
 
Kwa kujifanya mcha Mungu usipime !
Wapi amejifanya mchamungu ?!!!

Kiti cha URAIS hakina uchamungu muutakao....bali maamuzi sahihi kwa wakati sahihi....maamuzi yasiyo na tashwishi za "hisia"....

Mh.SSH ni kiongozi Bora....
 
171775DA-734C-4B98-BB24-6A1ECB5DF6AF.jpeg


HII MIPANGO IPO MDA SANA NA WANAMTAFUTA KILA ANGLE KWA SASA ILI WAMTIE NGUVUNI WADHOOFISHE WAFUASI WAKE. BE WARNED CC MNACHOFANYA HAKINA MASHIKO
 
Hawaogopi ufundi wa Mungu hawa! atamchomoa mmoja anayewatuma kabla uharibifu haujazidi.
 
Ogopa mwanamke mwenye madaraka makubwa sana harafu anajihisi labda hapewi recognision anayostahili. Haya ndio matokeo yake
Zote hizo zinabaki kuwa hisia tu....

Alipoapa aliyatwaa MADARAKA YA URAIS....haihitaji kujihisi.....

Mama anasimamia KATIBA kulinda amani ,usalama na UTULIVU wa nchi.....

Hilo ndilo kubwa....PUNDA AFE MZIGO UFIKE.....
 
Back
Top Bottom