Polisi wakamata gari lililokuwa na mizoga ya ng'ombe machinjio ya Tegeta

Polisi wakamata gari lililokuwa na mizoga ya ng'ombe machinjio ya Tegeta

Nigrastratatract nerve

JF-Expert Member
Joined
Sep 4, 2019
Posts
1,521
Reaction score
4,381
Polisi jijini Dar es Salaam wamelikamata gari lililokuwa na mizoga ya ng'ombe katika machinjio ya Tegeta. Kilichopelekea Polisi kufanya msako katika machinjio hayo ni taarifa waliyopewa na wasamaria wema walioshtushwa na harufu kali ya uozo kutoka eneo hilo

Habari za awali zilizopatikana katika eneo hilo zinasema kuwa wachinjaji ng'ombe katika machinjio hayo walikuwa katika maandalizi ya kuwachinja na kuiingiza nyama ya mizoga hiyo sokoni.
 
Wamjaribu mama kivip kwa mfano,hayo yote ni ugum wa maisha haya yaliyosababishwa na jiwe mwendazake,wavute subira good days are coming,our prayers to our beautiful mother of the nation
Ni hoja ulioamua kujifariji nayo toka jpm afariki..actually maisha yako yote utalaumu kila kitu kwake ambayo naona ni nzuri inaonesha alikuwa na nguvu kiasi gani katika hatima yako na ni kwa kiasi gani amejenga kibanda ubongoni mwako kiasi huwezi tenganisha chochote kinachoendelea fikrani mwako na yeye..u need see a shrink
 
fanya kazi usikwepe majukumu utakufa masikini na excuses zako bwam wewee
Wamjaribu mama kivip kwa mfano,hayo yote ni ugum wa maisha haya yaliyosababishwa na jiwe mwendazake,wavute subira good days are coming,our prayers to our beautiful mother of the nation
 
Hii ni mara ya pili kwa tukio kama hilo kutokea hayo machinjio ya Tegeta, nazishauri mamlaka husika ziwakamate wahusika wote wafikishwe mbele ya sheria liwe fundisho, na ikibidi hayo machinjio yatafutiwe uongozi mpya, uliopo ni corrupt sana.
 
Polisi jijini Dar es Salaam wamelikamata gari lililokuwa na mizoga ya ng'ombe katika machinjio ya Tegeta. Kilichopelekea Polisi kufanya msako katika machinjio hayo ni taarifa waliyopewa na wasamaria wema walioshtushwa na harufu kali ya uozo kutoka eneo hilo...
Mimi huwa sili nyama za buchani.

Nakula dagaa, samaki, Maharage, kuku niliyechinja mwenyewe au nakula nyama ya ng'ombe, mbuzi nk, katika sherehe.
 
Polisi jijini Dar es Salaam wamelikamata gari lililokuwa na mizoga ya ng'ombe katika machinjio ya Tegeta. Kilichopelekea Polisi kufanya msako katika machinjio hayo ni taarifa waliyopewa na wasamaria wema walioshtushwa na harufu kali ya uozo kutoka eneo hilo....
Hiyo machinjio yenyewe ipo kwenye makazi ya watu,hapo vibudu mbona ndiyo nyumbani kwake Mkuu,kuna kipindi nilishaweka uzi humu kuhusu hii machinjio ya Tegeta.
 
Back
Top Bottom