Polisi wakamata gari lililokuwa na mizoga ya ng'ombe machinjio ya Tegeta

Polisi wakamata gari lililokuwa na mizoga ya ng'ombe machinjio ya Tegeta

Ni hoja ulioamua kujifariji nayo toka jpm afariki..actually maisha yako yote utalaumu kila kitu kwake ambayo naona ni nzuri inaonesha alikuwa na nguvu kiasi gani katika hatima yako na ni kwa kiasi gani amejenga kibanda ubongoni mwako kiasi huwezi tenganisha chochote kinachoendelea fikrani mwako na yeye..u need see a shrink

Hakika umeongea kweli kabisa,

Magufuli kwenye suala la korosho kanitia umaskin Sana,nilikua na mzgo wa pesa nyingi sana wa korosho ambao kwa sera zake za hovyo na kuingilia mambo asiyoyajua kapelekea kuharibu biashara yangu ile na kuua msingi wangu mkubwa sana.

Niliingia shamba kupambana Nile jasho langu,yeye from nowhere akacheza picha lisiloeleweka kabisa,you just won't understand,and siwez kukulaum
 
Nikieaga Dsr huwa naka Maharagwe na votu vya ngano ngano na Ugari na wali, vitu kama Nyama sijui kuku sijui mayai situmii kabisa Dar
 
Hali ya maisha ngumu SANA, wacha tu tule mizoga, Kwan mizoga mingapi imepita hapo na kuchinjwa Bila kushtukiwa? Wacha tu tuendelee kuila..MPAKA WAHUSIKA WATAKAPOSEMA BASI
Hahaaa impact ya haya ni baadae sana mbaya ni kuwalisha Watoto wadogo wasio kuwa na hatia uchafu,
 
Wamjaribu mama kivipi kwa mfano, hayo yote ni ugum wa maisha haya yaliyosababishwa na jiwe mwendazake, wavute subira good days are coming, our prayers to our beautiful mother of the nation.
Kulishana uchafu haihaanza leo hata awamu ya Jk zilikuwepo tu
 
Polisi jijini Dar es Salaam wamelikamata gari lililokuwa na mizoga ya ng'ombe katika machinjio ya Tegeta. Kilichopelekea Polisi kufanya msako katika machinjio hayo ni taarifa waliyopewa na wasamaria wema walioshtushwa na harufu kali ya uozo kutoka eneo hilo

Habari za awali zilizopatikana katika eneo hilo zinasema kuwa wachinjaji ng'ombe katika machinjio hayo walikuwa katika maandalizi ya kuwachinja na kuiingiza nyama ya mizoga hiyo sokoni.
Wanataka kutuharibia sikukuu yetu
 
Polisi jijini Dar es Salaam wamelikamata gari lililokuwa na mizoga ya ng'ombe katika machinjio ya Tegeta. Kilichopelekea Polisi kufanya msako katika machinjio hayo ni taarifa waliyopewa na wasamaria wema walioshtushwa na harufu kali ya uozo kutoka eneo hilo

Habari za awali zilizopatikana katika eneo hilo zinasema kuwa wachinjaji ng'ombe katika machinjio hayo walikuwa katika maandalizi ya kuwachinja na kuiingiza nyama ya mizoga hiyo sokoni.
Ndo maana mwezi haujaandama, washenzi sana hawa
 
Hakika umeongea kweli kabisa,

Magufuli kwenye suala la korosho kanitia umaskin Sana,nilikua na mzgo wa pesa nyingi sana wa korosho ambao kwa sera zake za hovyo na kuingilia mambo asiyoyajua kapelekea kuharibu biashara yangu ile na kuua msingi wangu mkubwa Sana,Niliingia shamba kupambana Nile jasho langu,yeye from nowhere akacheza picha lisiloeleweka kabisa,you just won't understand,and siwez kukulaum
Pole mdau...ni kweli serikali walikosea sana kuingilia korosho

Ova
 
Buku saba ndio nini

Swala la wizi halipo kwenye sera za serikali wala vyama, ni la mtu binafsi na ashutumiwe na kushughulikiwa mhusika... ku generalise ni kuwachafua wengine.

Hivi Mbowe alipoiba michango ya wenzie mlimfanyaje☺☺☺
Wewe huenda unalelewa ndio maana unaongea hivyo
 
ahsante Jeshi la polisi kwa kuepusha wananchi kula mizoga ya ngombe ambayo inheletelezea maradhi ktk familia zetu.

mwendo huo huo kwa Jeshi letu la polisi.
 
Mmhhhh nyama ikioza kweli mtu unaweza kununua? Hata ndaza tu inajulikana,labda wanunue wale wanaoenda kupika supu na kuchoma kwenye vibanda umiza yaani wawauzie supu walevi wa mataputapu.
 
Ninavyonunua nyama! Naenda sehemu ya kuchinjia nakuona ng'ombe kabla ya kuchinja na kushuhudia daktari akipima. Ni kazi Ila inabidi kwani huenda tunakula vitu vya ajabu na kupata magonjwa ya ajabu. Watu hawana huruma katika kutafuta pesa.
 
Back
Top Bottom