mama D
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 19,981
- 35,581
Wao ndio hawana jema, waliiba minofu pale Buguruni
Hivi wewe huwa unafuatilia habari kweli au unapenda tu kubishana kwasababu unalipwa buku saba
Buku saba ndio nini
Swala la wizi halipo kwenye sera za serikali wala vyama, ni la mtu binafsi na ashutumiwe na kushughulikiwa mhusika... ku generalise ni kuwachafua wengine.
Hivi Mbowe alipoiba michango ya wenzie mlimfanyaje☺☺☺